Uwekezaji uwekezaji (for positive mindset only)

Uwekezaji uwekezaji (for positive mindset only)

Joined
Dec 28, 2015
Posts
70
Reaction score
150
Nina amini kuna watu wana pesa zao nzuri tu...tena nyingi ziko benk,ziko majumbani na sehemu mbalimbali za kutunzia pesa.

Mimi future billionaire nafanya biashara zangu binafsi kwa miaka mitano sasa hivi.Wafanyakazi wezangu na wasio wafanyakazi wana niunga mkono kwa kuwekeza pesa zao kwenye biashara zangu ninazofanya.

Wao wanawekeza pesa zao kuanzia millioni moja na zaidi.Mimi nawapa faida ya 7% kila mwezi,nawapa kwa awamu ya miezi mitatu mitatu.yaan baada ya miezi mitatu nawapa faida 21% na mwisho kabisa kutegemea na muda alioweka mfano miezi sita, tisa au miezi 12, anapewa faida pamoja na pesa aliyowekeza kwangu.

Uhakika nimeona watu kumbe wana pesa zao vizuri sema wanaogopa kuingia kwenye biashara na ujasiriamali kwa hofu ya kupoteza pesa pale biashara itakapokuwa ngumu,au kufilisika,maana biashara au hakika inahitaji msukumo fulani wa ndani wa mhusika.

Kwa hiyo nakaribisha sasa wawekezaji wakubwa kutoka sehemu mbalimbali Tanzania.nifanye nao kazi.taratibu zote za mikataba na makubaliano zipo wazi,hata kama una mwanasheria wako wewe njoo nae tuweke tukubaliane kisheria zaidi.

Naamini kufanikiwa tu ,sijawahi kuwaza kushindwa,ikitokea hasara wewe haikuhusu na wala huna haja ya kufahamu biashara ninayoifanya,ingawa ukitaka kuijua unaijua,wewe ni kusubiri faida tu.

Hapa inatakiwa uwe na roho ya biashara na ujasirimali sio yale mawazo hasa,sijui je nitakuaminije,sijui tapeli,sijui ni risk n.k wakati uhakika kabisa mtu mwenye nia ya kuwekeza kama akimua kutaka kujiridhisha tutapanga namna ya kuonana atakuja Arusha ndo ninakoishi na kufanya kazi,ataona mahali ninapofanyia kazi,na ataamua yeye kama kweli anataka kuwekeza.
 
Nina amini kuna watu wana pesa zao nzuri tu...tena nyingi ziko benk,ziko majumbani na sehemu mbalimbali za kutunzia pesa.

Mimi future billionaire nafanya biashara zangu binafsi kwa miaka mitano sasa hivi.Wafanyakazi wezangu na wasio wafanyakazi wana niunga mkono kwa kuwekeza pesa zao kwenye biashara zangu ninazofanya.

Wao wanawekeza pesa zao kuanzia millioni moja na zaidi.Mimi nawapa faida ya 7% kila mwezi,nawapa kwa awamu ya miezi mitatu mitatu.yaan baada ya miezi mitatu nawapa faida 21% na mwisho kabisa kutegemea na muda alioweka mfano miezi sita, tisa au miezi 12, anapewa faida pamoja na pesa aliyowekeza kwangu.

Uhakika nimeona watu kumbe wana pesa zao vizuri sema wanaogopa kuingia kwenye biashara na ujasiriamali kwa hofu ya kupoteza pesa pale biashara itakapokuwa ngumu,au kufilisika,maana biashara au hakika inahitaji msukumo fulani wa ndani wa mhusika.

Kwa hiyo nakaribisha sasa wawekezaji wakubwa kutoka sehemu mbalimbali Tanzania.nifanye nao kazi.taratibu zote za mikataba na makubaliano zipo wazi,hata kama una mwanasheria wako wewe njoo nae tuweke tukubaliane kisheria zaidi.

Naamini kufanikiwa tu ,sijawahi kuwaza kushindwa,ikitokea hasara wewe haikuhusu na wala huna haja ya kufahamu biashara ninayoifanya,ingawa ukitaka kuijua unaijua,wewe ni kusubiri faida tu.

Hapa inatakiwa uwe na roho ya biashara na ujasirimali sio yale mawazo hasa,sijui je nitakuaminije,sijui tapeli,sijui ni risk n.k wakati uhakika kabisa mtu mwenye nia ya kuwekeza kama akimua kutaka kujiridhisha tutapanga namna ya kuonana atakuja Arusha ndo ninakoishi na kufanya kazi,ataona mahali ninapofanyia kazi,na ataamua yeye kama kweli anataka kuwekeza.

Ila kama unaogopa ndugu kaa na pesa zako,wapo wanaoamini watakuja tufanye nao biashara. Na hakuna kitachoharibika.ndoto zangu ni kubwa kuliko hizo pesa zako unazohisi nitakutapeli.

Mawasiliano
dylm.mashauri@gmail.com
0716060677
Shida yetu ni waoga sio kwamba ni waangarifu kwenye fedha tulizonazo. aBig up brother
 
Mkuu, mimi sio hater. But napata kigugumizi cha akili. Kama umeweza kufanya kazi na watanzania kwa miaka mitano na kweli ukafanikiwa kuwalipa hiyo asilimia 7 kila mwezi bila shida, basi mojawapo ya haya mawili yangetokea.
1. Hao uliofanya nao biashara wangekuwa ndo marketers wako, yaani wangekuuza zaidi ya DECI
2. Ungekuwa umeshatengeneza mtaji wa kutosha, usingehitaji wawekezaji wengine.

Inanikumbusha mentors wa forex. Hivi kama mtu ameshakuwa consistent profit maker, anaweza kuuza account from dollar 10 hadi 1000 kwa mwezi, irene tena awalie masikini elfu 50 za mafunzo?
 
Unatoa nini kwa mtu anaye wekeza? Cheti, mkataba au nini. Ofisi yako iko wapi? Hizo fedha zinatolewa kwa njia gani? Account ya kampuni au account yako binafsi. Una kampuni na je imesajiliwa? Una leseni inayokuruhusu kufanya hiyo biashara?
 
Unatoa nini kwa mtu anaye wekeza? Cheti, mkataba au nini. Ofisi yako iko wapi? Hizo fedha zinatolewa kwa njia gani? Account ya kampuni au account yako binafsi. Una kampuni na je imesajiliwa? Una leseni inayokuruhusu kufanya hiyo biashara?
Maswali mazuri sana Mkuu...sina. Kampuni Mkuu ni biashara binafsi tu ina leseni na vibali vinavyotakiwa...kwa kifupi ni hivi nafanya biashara ya mazao ya nafaka hasa mahindi,mpunga na maharange,pia dagaa wa ziwa victoria. Nawashauri pia mtu kama anaweza kupambana mwenyewe afanye hzo biashara huwez kulala nja au kubaki kusubiri mshahara au ajira.
 
Unatoa nini kwa mtu anaye wekeza? Cheti, mkataba au nini. Ofisi yako iko wapi? Hizo fedha zinatolewa kwa njia gani? Account ya kampuni au account yako binafsi. Una kampuni na je imesajiliwa? Una leseni inayokuruhusu kufanya hiyo biashara?
Mikataba ya makubaliano ndo ipo mkuu,moja nabaki nayo nyingine unachukua wewe mwekezaji.
 
Mkuu, mimi sio hater. But napata kigugumizi cha akili. Kama umeweza kufanya kazi na watanzania kwa miaka mitano na kweli ukafanikiwa kuwalipa hiyo asilimia 7 kila mwezi bila shida, basi mojawapo ya haya mawili yangetokea.
1. Hao uliofanya nao biashara wangekuwa ndo marketers wako, yaani wangekuuza zaidi ya DECI
2. Ungekuwa umeshatengeneza mtaji wa kutosha, usingehitaji wawekezaji wengine.

Inanikumbusha mentors wa forex. Hivi kama mtu ameshakuwa consistent profit maker, anaweza kuuza account from dollar 10 hadi 1000 kwa mwezi, irene tena awalie masikini elfu 50 za mafunzo?
Sijaweza kufanya Kazi na watz wote Mkuu,hasa walioniamin ni wafanyakazi wezangu na baadhi ya marafiki wa hao wafanyakazi.
Kumbuka kuwekeza pesa kwa mtu sio Kazi rahisi inahitaji risk takers tu...sio wale wa comfort zone.

Ninaposema wawekezaji wangu ni jamii inayonizunguka ni kweli ila hapo mwanzo haikuwa rahis mpaka pale watu walipoona kwa wenzao ndo oooohh ... kumbe inawezekana ndo nasema sasa Asante Mungu jamii ya karibu imezidi kuniamin ndo maana napata ujasiir hata wa kuweka tangazo hapa.
 
Maswali mazuri sana Mkuu...sina. Kampuni Mkuu ni biashara binafsi tu ina leseni na vibali vinavyotakiwa...kwa kifupi ni hivi nafanya biashara ya mazao ya nafaka hasa mahindi,mpunga na maharange,pia dagaa wa ziwa victoria. Nawashauri pia mtu kama anaweza kupambana mwenyewe afanye hzo biashara huwez kulala nja au kubaki kusubiri mshahara au ajira.
Ndio imunafanyaje hizo biashara..unaweza kuweka madini kidogo mkuu?
 
Kwani fixed account unajua wanatoa asilimia ngapi faida?
Jitahidi uwe na mbinu ya kushindana na fixed account maana ni safe zaidi kuliko kwako by the way una wazo zuri ila lifanye kisasa
 
Back
Top Bottom