bubblymolly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2019
- 499
- 714
Habari zenu wakuu,
Katika pitapita zangu kwenye mtandao wa Instagram ninekutana na tangazo la Mr Kuku la kukaribisha wawekezaji, ambapo kiasi utakachowekeza utapata mara mbili yake baada ya miezi 6.
Nmejaribu kuuliza na kutafakari mwenyewe sijapata majibu nmeona vyema nililete kwenu kwa ufafanuzi zaidi.
1. Is this legit?
2. Incase wanapata loss na wewe uliye-invest utapata bado ile double?
3. Waliowahi kuinvest kwake naomba experience yao tafadhali.
Ntashukuru kama mta-avoid kebehi, matusi na masihara. Asanteni
Katika pitapita zangu kwenye mtandao wa Instagram ninekutana na tangazo la Mr Kuku la kukaribisha wawekezaji, ambapo kiasi utakachowekeza utapata mara mbili yake baada ya miezi 6.
Nmejaribu kuuliza na kutafakari mwenyewe sijapata majibu nmeona vyema nililete kwenu kwa ufafanuzi zaidi.
1. Is this legit?
2. Incase wanapata loss na wewe uliye-invest utapata bado ile double?
3. Waliowahi kuinvest kwake naomba experience yao tafadhali.
Ntashukuru kama mta-avoid kebehi, matusi na masihara. Asanteni