Uwekezaji Be Foward

Uwekezaji Be Foward

Chief Masta

Member
Joined
Feb 5, 2022
Posts
11
Reaction score
23
Jana nikapost kuhusu watu ambao wamewekeza kwenye BE FORWARD NOW ili kuhakikisha kama kweli wananufaika au lah...!

Kuna raia wamezomea, wengine wakasema dogo utatapeliwa, n.k ila kuna akili ikaniambia kijana wewe ni mwafrika bhana na ili mwafrika aamini mpaka aguse, nikaamua kuwa Thomaso nikawekeza dollar mia tano (Tsh 1,250,000) ili kutest mitambo.

Leo nikaomba withdrawal ya kamisheni ambayo ni dollar 9 mida ya kumi jioni, ombi limekuwa.pending mpk nikakosa usingizi nikajua labda nimeliwa ila muda huu jaona muamala unasoma ni

Nilichojifunza ni kwamba ili uweze kufanikiwa, hutakiwi kuogopa risk, ninaamini mpaka siku 150 zinaisha basi ntakuwa nimetengeneza profit ya maana Insha'Allah

Here are my s.shots below
Screenshot_20220413-163934.jpg
View attachment 2186653View attachment 2186652View attachment 2186654
 
Mmmh! Ngoja nikae pembeni.
Jana nikapost kuhusu watu ambao wamewekeza kwenye BE FORWARD NOW ili kuhakikisha kama kweli wananufaika au lah...!

Kuna raia wamezomea, wengine wakasema dogo utatapeliwa, n.k ila kuna akili ikaniambia kijana wewe ni mwafrika bhana na ili mwafrika aamini mpaka aguse, nikaamua kuwa Thomaso nikawekeza dollar mia tano (Tsh 1,250,000) ili kutest mitambo.

Leo nikaomba withdrawal ya kamisheni ambayo ni dollar 9 mida ya kumi jioni, ombi limekuwa.pending mpk nikakosa usingizi nikajua labda nimeliwa ila muda huu jaona muamala unasoma ni

Nilichojifunza ni kwamba ili uweze kufanikiwa, hutakiwi kuogopa risk, ninaamini mpaka siku 150 zinaisha basi ntakuwa nimetengeneza profit ya maana Insha'Allah

Kama una muda, unaweza pitia website yao www.beforwardnow.com

Here are my s.shots belowView attachment 2186655View attachment 2186653View attachment 2186652View attachment 2186654
 
Back
Top Bottom