Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Mwonekano wa Uwanja wa Benjamini Mkapa 'Lupaso' upo tayari kwa ajili ya michuano ya CHAN2024
Agosti 2, michuano ya CHAN itaanza kwa mara ya kwanza kutimua vumbi katika ardhi ya Tanzania. Mechi ya ufunguzi itapigwa katika dimba hilo baina ya Taifa Stars na Burkina Faso. Kumbuka bado siku 5.
Agosti 2, michuano ya CHAN itaanza kwa mara ya kwanza kutimua vumbi katika ardhi ya Tanzania. Mechi ya ufunguzi itapigwa katika dimba hilo baina ya Taifa Stars na Burkina Faso. Kumbuka bado siku 5.