Uwanja wa Mkapa upo tayari kwa Mbungi la CHAN

Uwanja wa Mkapa upo tayari kwa Mbungi la CHAN

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Mwonekano wa Uwanja wa Benjamini Mkapa 'Lupaso' upo tayari kwa ajili ya michuano ya CHAN2024

Agosti 2, michuano ya CHAN itaanza kwa mara ya kwanza kutimua vumbi katika ardhi ya Tanzania. Mechi ya ufunguzi itapigwa katika dimba hilo baina ya Taifa Stars na Burkina Faso. Kumbuka bado siku 5.



1753726210779.png


1753726325416.png

1753726361820.png
 
Back
Top Bottom