Kha!raisi anaamrishwa? Hivi vitoto vimekosa adabu, eti ndani ya siku sitini!!!!!!, kwani chama kina nguvu gani ya kumfundisha kazi rais....wabunge ambao ndo wawakilishi wa wananchi mbona hawatumiki.....si wamuite mbunge wao wa viti maalum ndo wamuambie hayo kama kero ya wananchi....hichi chama sasa...kila mmja anatoa amri..hata hivi vitoto kweli...kazi ipo