Demokrasia bila mipaka ni ukichaa na demokrasia bila nidhamu ni uwendawazimuMwl Jk Nyerere
Ndugu zangu Watanzania, naomba mfahamu kuwa miongoni mwa wajumbe wote wabunge la katiba takriban 600, wajumbe waliofanya maamuzi haramu yakugomea ni 79 ambao ni pungufu ya asilimia 15% ya wajumbe wote, nasio kweli kuwa wao pekee ndio wenye tafsiri sahihi ya rasimu. Wajumbe wa makundi mbalimbali wakiwemo wawakilishi wa vyama vyote vya siasa takriban 18 kati ya 22 bado wamo kwenye bunge, kati ya wajumbe wakundi la 201 walioasi ni 15 ambapo bara ni 9 na zanzibar 6 lakini piakatika wanaojiita UKAWA wapo wabunge ambao wameendelea kurudi bungeni kwa kuzingatia maslahi mapana ya Taifa. Takwimu hizizinatuthibitishia kuwa UKAWA ni kikundi kidogo cha watu waliojipangakuvuruga AMANI ya nchi, watu ambao hawataki KATIBA wala hawatakiMUUNGANO.
MunguIbariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika
PAUL MAKONDA
Katibu, idara ya Hamasa na chipukizi
Jumuiaya vijana chama cha mapinduzi (UVCCM)