Itakuwa aina ya vyakula unavyokulaHuwa siwazi ngono, najikuta tu ngoma imesimama
Trend mpya!?? Kuna mahali nako nilionaRafiki yangu alikufa kwa tatizo kama lako
Wewe utakuwa unakula mlenda sana au aina ya vyakula hivyo hii ndo ilinifanya niwe kama wewe nikatupilia mbaliHabari za mda huu waungwana,
Naomba mwenye kujua hili tatizo linalo nisumbua mda Sasa. Yaani mda wote nakua nipo sawa ila ikifika ule muda nikianza kulala uume unanza kusimama wenyenye pasipo kuusisimua na hali hiyo huendelea hadi asubuhi,
Msaada kwa mwenye kujua chanzo
Ni kawaida sana mm pia nasumbuka na hii kitu imri 40+Habari za mda huu waungwana,
Naomba mwenye kujua hili tatizo linalo nisumbua mda Sasa. Yaani mda wote nakua nipo sawa ila ikifika ule muda nikianza kulala uume unanza kusimama wenyenye pasipo kuusisimua na hali hiyo huendelea hadi asubuhi,
Msaada kwa mwenye kujua chanzo
Izi iti ezi itiizi? Au nimeelewa ki "Express your self"Angalia isije ikawa umegeuzia boxer, kupitia harufu ikawa inapata feelings za kitu kingine