Utumishi wako fair

Hongera kwa kupata kazi.
 
Kwanza pole kwa kukashifu kazi za wengine kwani wa Halmashauri nae atakua kapata maisha ambayo labda wewe unaona ni upuuzi.

Pili pole kwa mindset yako. Nakuhurumia.

Tatu pole kwa kuku dissapoint ila nimepata kazi TANAPA.
Kwahiyo umeona umwambie ukweli wote
 
Congrats
 
Naona unadharau kazi za watu ndugu.
-Mkuu sijadharau, kwa sababu mimi mwenyewe sio mwajiriwa, mimi ni machinga natembeza bidhaa mitaani
-Nimesema kwamba labda kapata kazi halmashauri kwa sababu kuna wadau humu waliwahi kusema eti ukipata kazi kirahisi bila kushikwa mkono basi ni kitengo kisicho na mshahara,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…