Mfarisayomtata
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 474
- 188
Wiki iliyopita yalitoka majina ya kuripoti kazini kwa watu wa kada mbalimbali, lakini sijaona majina/ majibu ya tuliofanya interview Tantrade... Sasa, je, mlishaita au ndo bado tu majibu? Interview ilifanyika sawa na wale wengine mfano BRELA.