Ndalahwa Robert
Member
- Jan 22, 2014
- 51
- 5
Wakala wa seriali na Mamlaka za serikali za Mitaa (MDAs & LGAs) wametoa kali zaidi ya uhamiaji na Utumishi.
Wao walitangaza nafasi moja (1) ya Afisa Ugavi Msaidizi II (Assistant Supplies Officer II) tarehe 17 Feburuari, 2014 na tare he 07 Juni, 2014 wakawaita watu 131 kwenye usaili uliofanyika trh 14.062014 ktk ofisi za Secretariat ya ajira. Jengo la maktaba kuu ya Taifa, hii ikiwa ni usaili wa mchujo na tare he 19.06.2014 ni usaili wa mahojiano.
Hoja yangu hapa ni uwezekano wa wasailiwa hawa kupata kazi kuwa ni mdogo kuliko ule wa Utumishi na Uhamiaji kwani hapa ni 0.0076% tu ndio uhakika wao wa kupata kazi.
Ukilinganisha Utumishi, Uhamiaji na MDAs&LGAs utabaini kuwa MDAs&LGAs ndio wamevunja rekodi ya ulimwengu zaidi ya Wachina na taasisi zilizotajwa hapo juu. "Majanga kwa wanataaluma"
Watanzania hasa mlioko vyuoni uhakika wa kupata kuajiliwa bado ni fumbo lisilo na mfumbuzi.
Aidha, hakikisheni mnatilia mkazo zaidi kwenye masomo ya ujasiamali zaidi (entrepreneurship) otherwise mnapiga na mtapiga lapa patupu kabisaaa!
Namalizia kwa kusema "ukishangaa ya Mkapa utaona ya Kikwete".
Wao walitangaza nafasi moja (1) ya Afisa Ugavi Msaidizi II (Assistant Supplies Officer II) tarehe 17 Feburuari, 2014 na tare he 07 Juni, 2014 wakawaita watu 131 kwenye usaili uliofanyika trh 14.062014 ktk ofisi za Secretariat ya ajira. Jengo la maktaba kuu ya Taifa, hii ikiwa ni usaili wa mchujo na tare he 19.06.2014 ni usaili wa mahojiano.
Hoja yangu hapa ni uwezekano wa wasailiwa hawa kupata kazi kuwa ni mdogo kuliko ule wa Utumishi na Uhamiaji kwani hapa ni 0.0076% tu ndio uhakika wao wa kupata kazi.
Ukilinganisha Utumishi, Uhamiaji na MDAs&LGAs utabaini kuwa MDAs&LGAs ndio wamevunja rekodi ya ulimwengu zaidi ya Wachina na taasisi zilizotajwa hapo juu. "Majanga kwa wanataaluma"
Watanzania hasa mlioko vyuoni uhakika wa kupata kuajiliwa bado ni fumbo lisilo na mfumbuzi.
Aidha, hakikisheni mnatilia mkazo zaidi kwenye masomo ya ujasiamali zaidi (entrepreneurship) otherwise mnapiga na mtapiga lapa patupu kabisaaa!
Namalizia kwa kusema "ukishangaa ya Mkapa utaona ya Kikwete".