utumishi kwa mara nyingine tena.

utumishi kwa mara nyingine tena.

Joined
Aug 29, 2012
Posts
14
Reaction score
0
hi wadau, utumishi kwa mara ya pili tena wametoa nafasi za kazi zaidi ya 2000 tembelea website yao.kajarib bahati yako, ila daaaaa........... deadline mwezi wa sita kazini sijui lini tena.
 
hi wadau, utumishi kwa mara ya pili tena wametoa nafasi za kazi zaidi ya 2000 tembelea website yao.kajarib bahati yako, ila daaaaa........... deadline mwezi wa sita kazini sijui lini tena.

Nimejaribu kuchek fasta cJaona, labda nina ucngiz. Ngoja nilale kesho niangalie vzr zaidi. Bt thnx for the info
 
Nimejaribu kuchek fasta cJaona, labda nina ucngiz. Ngoja nilale kesho niangalie vzr zaidi. Bt thnx for the info

Baada ya kuona deadline mwezi wa sita tayari nilitia shaka. Muda wa kuapply baada ya kazi kutangazwa serikalini mara nyingi huwa siku 14.
Mtoa mada acha kucheza na hisia za watu.
 
Ukichunguza vema utagundua mikutano hii ya kuwatukana wakristo ina backing ya political heavyweights kote, bara na visiwani. Kikwete ni ndumila kuwili na hata kama uliisikiliza vema hotuba yake ya mwisho wa mwezi utagundua lugha ya kinafiki aliyoitumia!
 
Jamani Tanzania ni mmoja milele na wote tuta pita na tuta hiacha tukubali tusikubali, hakuna haja ya kutafuta machafuko ya kidini wala kanda bali tufikirie tuta ijengaje Tanzania kwa pammoja ili watoto na wajukuu waje wajivunie nchi yao tukisha toweka. Hamini husiamini nchi hijengwi kwa vita hata siku mmoja.
 
Nimejaribu kuchek fasta cJaona, labda nina ucngiz. Ngoja nilale kesho niangalie vzr zaidi. Bt thnx for the info

Hata me cjaziona kama vp lipakue file hilo bac ukiweke jamvini.
 
aisee hata mi nilipata shida sana kuziona, ndgu yangu mmoja akaniambia fanya hiv, nenda "Ajira.tz/new vancany 2013" then utaenda "nafasi za kazi utumishi tanzania may 2013.......
 
Jamani si mbaya mtu akatembelea hii tovuti ya United Nations kuna ajira za aina mbali mbali, katika maeneo mbali mbali ingia weka CV yako na unaweza tafuta kama kuna nafasi imetqngazwa ambayo inakufaa... Jaribu!
Www.careers.un.org

Kila la kheri!
 
Ukichunguza vema utagundua mikutano hii ya kuwatukana wakristo ina backing ya political heavyweights kote, bara na visiwani. Kikwete ni ndumila kuwili na hata kama uliisikiliza vema hotuba yake ya mwisho wa mwezi utagundua lugha ya kinafiki aliyoitumia!

watu wanaoendekeza udini na malumbano utawajua tu, mada tofauti na ulichokoment tofauti
 
Back
Top Bottom