Utumiaji wa snapsim apllication

ono

Member
Joined
Feb 13, 2014
Posts
9
Reaction score
1
Jamani msaada,

Kwa watumiaji wa hii application mimi nimetapeliwa hela na mtu na namba yake inapatikana mpaka sasa. Hivi naweza kutumia hiyo application ili niweze kujua location ya huyu mtu ili nimkamate? Maana inasemekana unaweza kupata message na calls ambazo huyu mtu anafanya bila yeye kujua.

Msaada jamani kwa anayejua kuhusu hii application.
 
Ndio haifanyi kaz ,ni ya wabongo ni ya utapel utaambiwa tuma hela i function, ndio kwaheri ushaliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…