Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,346
Kwanini fremu za maduka katika majengo ya CCM jengo la CCM wilaya ya manyoni mjini, inalipwa tofauti? Kuna mtu analipa 30000,50000,70000, 120000, na 150000 mbaya zaidi frem hizi zilimilikiwa na wababe toka miaka ya nyuma, lkn mpka Sasa wao hawaendeshi biashara yyte lakin wenyewe wamegeuka kuwa ma -landlord , wanawalipisha pesa ndefu wananchi wanyonge na vitisho kubao,
In maana viongozi hamjui hili?
Au ndio soko huria?
In maana viongozi hamjui hili?
Au ndio soko huria?