Uthubutu wa Rais Magufuli...


Straight line has been done and again rather than awakening wananchi to do the right thing... wananchi made bad choices 2009, 2010, 2014, 2015 and so they will repeat 2019 and 2020!

Mtanzania inabidi abadilishwe mtazamo by looking inwards not outwards!

Wangapi wanajua thamani ya kura na kodi zao? Leo unapiga kura na kulipa kodi then anakuja mtu uliyemuajiri anakunyanyasa!

Uthubutu is to say NO kwenye minyanyaso... Uthubutu ni ku-demand accountability bila fear... na si kukubali kuaminishwa!

It was said it will be impossible for ATCL to have brand new planes, they have spanking new even though they don’t have meaningful business idea to run it.

Why can’t mwananchi become bold to safe guard his Kura na Kodi by demanding accountability and not caving to “nitawashughulikia?”

Leo nimeona video mkurugenzi-RAS au DAS somewhere Arusha anasema watu wapigwe pingu na anakataa kuwapa nafasi watoe maelezo. Polisi hamuulizi Mkurugenzi hii arrest ni ya sheria gani au kutokana na kosa gani kisheria ili Polisi na Jamhuri ziwe protected against false arrest and detaining... anavuta pingu... anatimiza mbweko wa amri.

We need to change, we need to ask questions bila woga, tufanye mambo bila woga wa amri na mtoa amri! Maana watoa amri wana Uthubutu wa kuvunja sheria na kanuni na wanapeta... kwa nini wapewa amri nao wasiwe na uthubutu kukataa kuburuzwa?

Yes tunahitaji Uthubutu kukataa kuburuzwa ili tunaowapa majukumu waanze kuheshimu kura na kodi zetu na kusimamia haki na kufuata sheria si kujifanyia wanalotakabkisa wana Uthubutu!
 
Mhhhh!!
 
Yes tunahitaji Uthubutu kukataa kuburuzwa ili tunaowapa majukumu waanze kuheshimu kura na kodi zetu na kusimamia haki na kufuata sheria si kujifanyia wanalotakabkisa wana Uthubutu!
On that note, I say, THANK YOU Magufuli, kwa "Uthubutu". Hope this rubs off 'the right way' to the wananchi.

And THANK YOU, to the Rev. for finally making a clear definition of 'UTHUBUTU.

The only problem remaining now, is who will teach the "UTHUBUTU" lessons to the masses of Tanzanians who seem to have been in a trance, a spell of some type, hypnotized not to have these elements of 'UTHUBUTU'. Can Magufuli finally do this for us?
 
Rev.Kishoka, kama unaweza kufuatilia kwa makini unaweza kuona wachanagia wengi sana JF kwa sasa ni wapya, sio wale waliokuwepo tangu miaka 14 iliyopita wakati wana JFwanashambulia uozo serikalini. Wengi tulikuwa tunaomba atokee mtu ambaye atajilipua na kusema Tanzania kwanza, chama kwanza, ujinga mwisho.

Ukiangalia tangu serikali ya JPM ianza kazi we can see it is going for the jugular, at the same time inawapa kitu wananchi. Kuna uzi mmoja nimeweka kwenye jukwaa la Great Thinkers na kichwa "si kila mtanzania ni kichwa cha panzi", niliweka ule uzi nikikumbuka tumetoka wapi na malalamiko makuu. kweli JPM amethubutu.

CCM ya pre-Magufuli lilikuwa ni kama genge fulani lenye makundi ndani, watu walikwa hadi ushahidi hapa jinsi walivyokuwa wana-loot nchi...ingekuwa bora kama mijadala iliyokuwa hapa jamvini wakati Lowassa anatwambia uchumi wa Tanzania unapaa, na wakatu Dr Slaa anatwambia tunaibiwa. CCM ilikuwa imenunuliwa na ilikuwa ndio kinga kuu ya mafisadi, lakini CCM ya sasa ni chungu kwa mafisadi. Na inaonekana kuyafurumusha mafisadi kunahitaji moyo na umakini. Lakini badala ya kumsifu JPM kwa ku-dare ku-address root cause ya uozo ndani ya CCM na serikali, watu wanaanza kumdhahaki. What is it that we want? Tuendelee na ujinga ule ule just for the sake ya kuwafurahisha wanaojiita wenye chama? ...

It is absolutely ridiculous kumchukia JPM kwa kusema amekunyima ulaji, as if uongozi = ulaji. Kama ni kweli mtu anasema amemsaidia JPM kuingia madarakani halafu amemsahau, kweli hapa kuna tatizo, ina maana he is after something. Kwa hiyo licha ya upungufu uliopo kwenye serikali ya sasa, the least we can do ni kuwapa moyo na uungaji mkono.
 
Ukiangalia wote waliofanikiwa kimaisha, walicheza na neno "kuthubutu" umenena falsafa ya kweli , ubarikiwe
 
Acha kulialia kuhusu mishahara acha kazi
 
Maghufuli atabaki kuwa icon kubwa sana, time will tell, ana mapungufu yake ila ni raisi wa aina yake ,hawa hawa wanaomlaumu ndo watakuwa wa kwanza kumkumbuka jamaa,
Sana tena sana,walimsema Sana mh kikwete lakini Leo ndo wakwanza kumsifia.nilichojifunza hata ungefanya Jambo zuri kiasi gani Bado wapo watakaoona hufai tu.
 
Lakini Uthubutu unaweza kuwa wa kufanya yalio mema na kufanya mambo mabaya.. msingi mkuu kujitambua ni je kila mmoja na uimara wa kufanya uthubutu wa yaliyomema? au uthubutu wetu ni wa mambo mabaya ikiwa ni pamoja na kuendeekeza UUMUU? je kama jamii inayapokeaje yale ya Uthubutu hasi ambayo ni mabaya? je jamii inakabiliani vipi na Uthubutu wa kuikandamiza na kuionea haki hata kuvunja sheria au matumizi mabaya ya madaraka na mamlaka?
Je jamii itathubutu kuamka na kukataa kudhulumiwa au kuruhusu Uthubutu wenye nia na matokeo mabaya?
 

TOO MUCH TO READ……!Summarize your story pse!
 
Katika maneno yote ya Kiswahili, sishangai kwamba umeamua kutumia neno uthubutu na naamini umefanya hivyo kwa makusudi maalumu kabisa…kuuzunguka mbuyu. Bila shaka umefanya hivyo katika muendelezo ule ule wa jitihada za kutaka kuficha sifa halisi ya mtu. Wenzetu wana usemi kwamba …you can put lipstick on a pig, but it's still a pig!

Hapana huu si uthubutu, huu ni udikteta, period. Sifa moja kuu ya uthubutu ni ujasiri na hiyo sifa dikteta hana kwa sababu ya woga. Dikteta hulazimisha wakati mwenye uthubutu (jasiri) hushawishi...dikteta kwa vitendo hulazimisha apendwe na ole wako umkatae, jasiri kwa matendo yake hushawishi kupendwa na hana kinyongo na wasiompenda.

Je ni uthubutu gani unaongelewa hapa? Uthubutu usiojali taratibu wala mwongozo? Usiohitaji mpango wala mkakati? Usiozingatia utu wala haki? Usioweka kwenye mizani faida au hasara? Usiotofautisha kati ya mwanga na giza? Usioheshimu sheria wala kanuni? Wenzetu wanao usemi kwamba … you can’t make a silk purse from a sow’s ear!

Hapana, huu si uthubutu ni ubabe, ukurupukaji na unyama…


 
Mbona mnatumia nguvu nyingi kumpamba huyu mwenyekiti wenu?!!!

Kiongozi gani hakuwa na zuri hata moja?!!!!
Umeona eh
Uthubutu wa nini?
Kama kuiba yeye ameiba zaidi
Wote ni walewale
Shida ya a WaTz ni nini?!
Kwa vile amewagusa Nape na January mko hapa mnampongeza
Ni mchezo mchafu Ni Ubabe na visasi


Wanachafuana hakuna mzuri hata mmoja

Yeye na watawala waliopita hakuna tofauti wote wezi period!
Kuna awamu ngumu kama hii? Nchi imejaa Hofu

Kukurupuka kwake kutamponza
Kibao kikigeuka mje hapa muwapongeze akina Nape
 
Watu wanaoshangaa ya Rais ni watu ambao hawaoni tuliko na tunakoelekea
Hata mtu akitaka kujenga ni lazima ajibane kweli kama hana pesa za mara moja

Itatuchukua mda kufika ila mwanzo mzuri na ipo siku matunda yataonekana

Uthubutu ndio umefanya watu waendelee ila tatizo la Nchi nyingi za Africa ni uvivu tu na kutokujali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…