Habari marafiki.
Najua mlishtushwa na kile kilichotokea siku ya jana.
Kijana micka jac si tapeli au mwongo kama mlivyomdefine.
Actual hata mimi kama ndo ingekuwa mara ya kwanza kuona ningeweza kuhisi hivyo.
Tangu mwanzo dogo alikuwa ananiazima simu na kuitumia katika mambo yake.
Siku tatu zilizopita nami nilicreate profile ya jf pasipo yeye kujua.
First time kwa ile jana aliokuja kuniazima nilikuwa nimelog out, ila mara ya pili nilisahau na yeye alijua kuwa ipo profile yake ileile.
This is a good boy and he has a good behaviour.
Yaan mpaka anaogopa kwa maneno mliyomshtumu!
Swali kwenu, kama angekuwa mwongo ule ushaidi wa form na mlolongo mzima wa usajili wake angelipiwa vipi mtihani?
Muwe na kaasubuhi kema. Chezea mshahara na si kibarua.
Ngoja niingie kwa ofisi. Chum chum to all
Najua mlishtushwa na kile kilichotokea siku ya jana.
Kijana micka jac si tapeli au mwongo kama mlivyomdefine.
Actual hata mimi kama ndo ingekuwa mara ya kwanza kuona ningeweza kuhisi hivyo.
Tangu mwanzo dogo alikuwa ananiazima simu na kuitumia katika mambo yake.
Siku tatu zilizopita nami nilicreate profile ya jf pasipo yeye kujua.
First time kwa ile jana aliokuja kuniazima nilikuwa nimelog out, ila mara ya pili nilisahau na yeye alijua kuwa ipo profile yake ileile.
This is a good boy and he has a good behaviour.
Yaan mpaka anaogopa kwa maneno mliyomshtumu!
Swali kwenu, kama angekuwa mwongo ule ushaidi wa form na mlolongo mzima wa usajili wake angelipiwa vipi mtihani?
Muwe na kaasubuhi kema. Chezea mshahara na si kibarua.
Ngoja niingie kwa ofisi. Chum chum to all