Freeman Patrick
Senior Member
- Jul 10, 2012
- 132
- 13
Wadau naombeni mchango wenu as gr8 thinkerz... Wakat udom wanatoa list ya wanafunzi waliochaguliwa 2012/2013 jina langu sikuliona, nikafurahi nikidhan nimebaki hapa mjini, tcu walivyo release nikashangaa nimepelekwa udom computer engineering, sasa kwenye list ya udom waliyoitoa kwenye website yao sipo ila tcu wamenipangia huko, sasa hapo inakuaje??