Utata katika mapenzi

Utata katika mapenzi

baracky

Member
Joined
Mar 3, 2013
Posts
63
Reaction score
17
Wadau nisaidieni kuna binti mmoja nampenda sana but ni mdogo bao 17yrs but ananisumbua sana sababu anajua nampenda nitafanyaje ili niweze kumuacha mana tuliaidiana mambo mengi sana ila ananitesa sana Kwa Mtu mwingine Hana niko nae mm tu coz hata bikra nilimvunja mwenyewe nikikumbuka hicho ndio inaniuma zaidi nisaidieni mana ananisumbua sana
 
hivi unajua kuwa leo ni siku ya mtoto wa kike!!kauli mbiu ni zuia mimba za utotoni!!!
 
mbona mdogo hivo anasoma form ngapi?isiwe unajitafutia matatizo bure.
Tatizo vitoto vya siku hizi vishakua udogoni
 
wew mpuuzi kweri kwa hiyo unataka tukuidhinishie uma... la ..ya wako kwa watoto? kauli mbiu ya leo ZUIA MBIMBA ZA UTOTONI KWA WATOTO WA KIKE. AU FUATA USHAULI WA MWEKUNDU SEGEREA AU KEKO IWATENGANISHE
 
sasa wana mmu mwenzetu kaja anaomba ushauri nyinyi mnasimanga sio ustaarabu!!
kaka hebu tuambie huyo binti yupo kidato cha ngapi?
yalishanikuta na nilimwacha kwa akili sana mpaka mwenyewe kafurahi!!!
kosa ni kumwonjesha utamu tu.....
 
Shenzii sana!!!! Nyie ndo mnatuharibia watoto wetu!! Shame on you
 
.....seya tutoke wote ....seya....vaa vizuri upendeze...mambo moto moto....so umemaliza mchezea ndo wamwacha....nahic mkeo akuwa nae aliachwa na mwingine
 
umemtoa bikra nani amuoe komaa nae ulitaka raha sasa shida utaki shenzi kweli kwanza asome bado mtoto akikua ukamuoe
 
kwenye threads kama hizi mara nyingi busara huwa yanitoka...kwa leo ngoja nipite tu!!!
 
Wadau nisaidieni kuna binti mmoja nampenda sana but ni mdogo bao 17yrs but ananisumbua sana sababu anajua nampenda nitafanyaje ili niweze kumuacha mana tuliaidiana mambo mengi sana ila ananitesa sana Kwa Mtu mwingine Hana niko nae mm tu coz hata bikra nilimvunja mwenyewe nikikumbuka hicho ndio inaniuma zaidi nisaidieni mana ananisumbua sana

Anakusumbua je?
 
Mme mtisha mwanzisha uzi mpaka ameogopa kurudi hapa kujibu hoja
 
Back
Top Bottom