Mbunge diaspora
Member
- Feb 4, 2017
- 23
- 23
UTAPELI KUPITIA TIGO/MPESA
hivi ni kweli serikali haiwezi kudhibiti hili?hivi ni kweli MTU hawezi kuripoti namba iliyomfanyia utapeli ikazuwiwa?au tatizo wananchi hawajuwi jinsi ya kufanya?na kwa nini tigo/mpesa haandiki wakala wa kuchukulia wa pesa
hivi ni kweli serikali haiwezi kudhibiti hili?hivi ni kweli MTU hawezi kuripoti namba iliyomfanyia utapeli ikazuwiwa?au tatizo wananchi hawajuwi jinsi ya kufanya?na kwa nini tigo/mpesa haandiki wakala wa kuchukulia wa pesa