Hao hao mkuu.Hiyo ipo kila mahali mkuu, hiyo nadhani utakuwa ulishinda kweli japo wengi wanatapeliwa na mara nyingi wanaoshinda wanakuwa wameshapanga misheni ashinde mtu wao ili kuwapumbaza au kuwaaminisha, sasa naona ni ngumu pia wewe kwamba ulishinda.
Si unazungumzia hao jamaa hapo pembeni ya barabara, kwa mbele ya Shabibby kuna uwazi na vibanda vya machinga na kwa mbele kuna sheli kabla ya stendi ya daladala?
Kushinda ulishinda lakini usingepata zawadi yako maana ungegeuziwa kibao....!Katika kusubiria muda wa basi langu kuondoka nikaona nitembee kutafuta ngalau gazeti. Lahaula nikafika ktk kibanda fulani ivi mbele ya ofisi za shabibi kuelekea stand ya daladala.
Nikakuta watu wengi na kuna kama kibanda fulani cha kuuza vifaa kama tv, pikipik chakavu ivi. Kusimama nione, nikapewa CD ambayo wakaniambia ni matangazo ya kampuni fulani. Wakati nikitafari hayo, nikapewa namba kama za kucheza bahati nasibu.
Kufupisha simlizi, nikashinda pikipiki ya thaman 2, 000, 000 ambayo ni nzima ina card yake. Nikaulizwa kama naichukua au naiuza. Nikasema nauza kwani niko safarin. Nikaambiwa kuchangia kiasi cha 175, 000 ili kuipewa pikipiki au kupewa 2, 000, 000. Nikakataa nakuondoka. Sikujua ingétokea nini maana nilikuwa haraka kidogo.
Nadhani hii ni aina mpya ya utapeli au aliyekutana nayo atujuze ili tuwe salama.
Kushinda ulishinda lakini usingepata zawadi yako maana ungegeuziwa kibao....!
Ni hivi.......ukishashinda zawadi yako yoyote ile utaulizwa hilo swali...je unauza au upewe?
Jibu lolote ukitoa either ulipwe au uuze utaambiwa uchangie angalau 200,000.
Sasa basi......ukisha changia tu kiasi hicho cha pesa utaambiwa ebu tuhakikisha kama kweli umeshinda,afu hapo ndo unageuziwa kibao na kuonyeshwa kuwa umeliwa ingawa mwanzo ulishinda.
Mkuu bora ulivyoshtuka maana ungepigwa 175,000 yako ukose hata hela ya lunch morogoro pale samaki samaki.
Wengi huwa wanaliwa kiujanja ujanja na baadaye kusema serikali inafahamu mchezo huo. Kishaliwa fanya hivi: Tafuta mabaunsa wenye nguvu kama watatu hivi. Wawape mkong'oto wa nguvu wanatoia pesa hizo na wanahama kijiwe. Jamaa wa vijijini na walimu huwa wanaliwa sana mwisho wa mwezi wakishapata mishahara.Katika kusubiria muda wa basi langu kuondoka nikaona nitembee kutafuta ngalau gazeti. Lahaula nikafika ktk kibanda fulani ivi mbele ya ofisi za shabibi kuelekea stand ya daladala.
Nikakuta watu wengi na kuna kama kibanda fulani cha kuuza vifaa kama tv, pikipik chakavu ivi. Kusimama nione, nikapewa CD ambayo wakaniambia ni matangazo ya kampuni fulani. Wakati nikitafari hayo, nikapewa namba kama za kucheza bahati nasibu.
Kufupisha simlizi, nikashinda pikipiki ya thaman 2, 000, 000 ambayo ni nzima ina card yake. Nikaulizwa kama naichukua au naiuza. Nikasema nauza kwani niko safarin. Nikaambiwa kuchangia kiasi cha 175, 000 ili kuipewa pikipiki au kupewa 2, 000, 000. Nikakataa nakuondoka. Sikujua ingétokea nini maana nilikuwa haraka kidogo.
Nadhani hii ni aina mpya ya utapeli au aliyekutana nayo atujuze ili tuwe salama.
Matapeli wa Dar si ndio wanahamia huko??Dodoma nako kunataka kuwa kama Dar!
Hujambo...??Nakumbka niliwai kuibiw mwanza kwa style hiyohiyo pale rwegasore mwaka 2010,,,nilipew kimfuko nikatoa tiketi wakanambia niwape ile tiketi nikawapa wakanambia nimeshind tv,,,hivyo nilipie elfu ishirin wanipe tv kwa mihemuko ya kupewa tv bila kufikiria nikatoa elfu ishirini kuangalia tiketi hakuna chchte nilichoshindaa ,,,duu niliishiw na nguvu pesa yenyew nilikua nimepewa nikalipie ada sekondary nilikua form two kipindi ichoo,,,daadeki cnaga hamu na hao mapaka kabsa!!!!
Sijambo,vipHujambo...??
Amkia basi....!!Sijambo,vip
ShikamooAmkia basi....!!
Hao hao mkuu.
Jambo la kujiuliza ni kiwa wao wanapata faida gani?