Utapeli mkubwa unaofanywa na BOLT iliyokuwa Taxify zamani

Benylin

Member
Feb 9, 2017
44
26
Wadau hawa jamaa walijulikana kwa jina la Taxify, na walikua wakitoa huduma za usafiri kama ilivo Uber. jamaa wakabadili jina na saiv wanajiita "Bolt" wanafanya utapeli mkubwa kwenye trip zao, wakisingizia tatizo la GPS. Mfano kutoka Mwananchi kwenda Kairuki , ni umbali wa Km 11,ila chek hii receipt yao inasema ni 37Kms, na bei 17,000/=
Screenshot_20190717-201809.jpeg
 
Wadau hawa jamaa walijulikana kwa jina la Taxify, na walikua wakitoa huduma za usafiri kama ilivo Uber. jamaa wakabadili jina na saiv wanajiita "Bolt" wanafanya utapeli mkubwa kwenye trip zao, wakisingizia tatizo la GPS. Mfano kutoka Mwananchi kwenda Kairuki , ni umbali wa Km 11,ila chek hii receipt yao inasema ni 37Kms, na bei 17,000/=View attachment 1155976
Kaka andika email ya malalamiko.Kimara posta ilishawahi soma 73km nkakomaa wakanirejeshea.Kisha nkafuta app yenyewe.
 
Mimi safari ya elfu 5 nakumbuka nililtakuwa kulipa elfu 24. Nikamwambia silipi hiyo pesa anipeleke popote na akaanza ku bargain nina sh ngapi nikamwambia elfu 5... akaomba ni top hapo.. nikamlipa elfu 7 akaondoka
 
Mimi safari ya elfu 5 nakumbuka nililtakuwa kulipa elfu 24. Nikamwambia silipi hiyo pesa anipeleke popote na akaanza ku bargain nina sh ngapi nikamwambia elfu 5... akaomba ni top hapo.. nikamlipa elfu 7 akaondoka
Safi sana . Mimi situmii kabisa huduma za hawa jamaa na wapuuzi wapuuzi wengine kama.uber..bora ukodi bajaji muelewane bei kabisa.... upuuzi gani gari ikiwa kwenye fulani kilomita zinahesabu...nyambaff zao hawa.
 
Ni wezi kupindukia. Kuna siku nilisafiri kutoka Ubungo terminal kwenda eneo la km 12 ikaandikwa 40km nikadaiwa 25000 nikakomaa nikaishia 15000 nikalalamila wakasema ilikuwa nilipe 9000 nikadai ile 6000 mpaka leo. Nilidai pesa wakasema watarejesha kwa e-wallet mpaka leo ni miezi miwili sikurejeshewa. Jambo lingine ni kwamba madereva wao ni wezi kama kampuni yenyewe. Kuna kitu wanaita kutingisha Dish hivyo wana temper na hizo Kilometer na malipo. Huwa nikiingia diku hizi namwambia kabisa ole wake atingishe dish atanitambua. Akijua wewe ni mzoefu basi utajikuta unalipa nauli halali. Wezi wakuu Bolt na staff wao.

Huko Twitter wengine hatupo mtuwakilishe tu kuwakataa hawa jamaa. Usalama waingie huko na kuwachunguza. Thieves.
 
Kuna Dada mmoja anaendesha taxify/bolt aina ya gari ni Toyota Wish na wakati mwingine IST huwa anavaa ushungi Mara zote ni mkazi wa Mbezi Beach ni mwizi hatari.
 
Hii mifumo wanaiweza kwa wenzetu walioendelea but kwa bongo bado sana!!

Ngoja tu niendelee kutumia bajaji mpaka siku MUNGU ikimpendeza nami nimiliki ka pajero!
 
Sijui kwanini huwa nasi ta kutumia huduma hizi japo huwa nna haraka.
Na hizi testimonies ndo nazidi kuwa na mashaka na huduma.
 
Wadau hawa jamaa walijulikana kwa jina la Taxify, na walikua wakitoa huduma za usafiri kama ilivo Uber. jamaa wakabadili jina na saiv wanajiita "Bolt" wanafanya utapeli mkubwa kwenye trip zao, wakisingizia tatizo la GPS. Mfano kutoka Mwananchi kwenda Kairuki , ni umbali wa Km 11,ila chek hii receipt yao inasema ni 37Kms, na bei 17,000/=View attachment 1155976
Madereva watoa siku saba kwa wamiliki wa Uber, Taxify Madereva watoa siku saba kwa wamiliki wa Uber, Taxify via @MwananchiNews
 
Back
Top Bottom