Carnivora
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,650
- 6,028
Asee niaje wana. Achana na hiyo heading, soma content.
Hapa naongea na vijana wenzangu masingle boy mabachelor kama mimi. Excuse my language naandika kisela zaidi.
Vijana tuna mambo yetu. Kuna sometimes umekuta mtoto mzuri umetamani kupiga nae show ya kibabe. Ukamnyemelea kulingana na mazingira uliyokutana naye au ambayo mnakutana mara kwa mara ukapiga sound, mtoto si akaukuelewa? Hujampenda wala nini ila tu unataka kuosha rungu.
Ukaanza kujilia vyako full migegedo. Bi dada akijiangalia ana 28 inakatika 30 to thirty something na hamuoni kidume aliye serious. Wewe kwa uroho wako ndio umejitokeza kwa style hiyo hapo juu. Ulitaka kuhit and run lakini unarudia rudia. Akikucheki unafaa kuwa mume, unajitambua anaiona future yake kwako. Kidume huna dalili ya ndoa huku mtoto wa watu akijibebisha sana tu.
Kanisani keshaombewa sana hajapata mume.....omba sana asigeukie upande wa pili.
Asipojidakisha mimba basi anaenda KWA BABU. The latter being the bitter. Kaka utamuowa huyo pasipo kutarajia kudadeki. Hivi hujawahi kuona kuna mchizi wako katangaza ndoa kiajabu ajabu kwa dem usiyemtarajia. Ooh! Wengine sio akili zao.
Kuwa makini kaka, hit and run usimpeleke gheto.....usimbebishe na ukishamega sepa bila kuacha alama. Utarogwa babu. Shauri yako.
Ni hayo tu for the weekend ahead.
Meraki.
Hapa naongea na vijana wenzangu masingle boy mabachelor kama mimi. Excuse my language naandika kisela zaidi.
Vijana tuna mambo yetu. Kuna sometimes umekuta mtoto mzuri umetamani kupiga nae show ya kibabe. Ukamnyemelea kulingana na mazingira uliyokutana naye au ambayo mnakutana mara kwa mara ukapiga sound, mtoto si akaukuelewa? Hujampenda wala nini ila tu unataka kuosha rungu.
Ukaanza kujilia vyako full migegedo. Bi dada akijiangalia ana 28 inakatika 30 to thirty something na hamuoni kidume aliye serious. Wewe kwa uroho wako ndio umejitokeza kwa style hiyo hapo juu. Ulitaka kuhit and run lakini unarudia rudia. Akikucheki unafaa kuwa mume, unajitambua anaiona future yake kwako. Kidume huna dalili ya ndoa huku mtoto wa watu akijibebisha sana tu.
Kanisani keshaombewa sana hajapata mume.....omba sana asigeukie upande wa pili.
Asipojidakisha mimba basi anaenda KWA BABU. The latter being the bitter. Kaka utamuowa huyo pasipo kutarajia kudadeki. Hivi hujawahi kuona kuna mchizi wako katangaza ndoa kiajabu ajabu kwa dem usiyemtarajia. Ooh! Wengine sio akili zao.
Kuwa makini kaka, hit and run usimpeleke gheto.....usimbebishe na ukishamega sepa bila kuacha alama. Utarogwa babu. Shauri yako.
Ni hayo tu for the weekend ahead.
Meraki.