Utani wa kuitana gesti upo?

Utani wa kuitana gesti upo?

mandela1

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2013
Posts
837
Reaction score
602
Wadau habari za majukumu natumai wengi mnaendelea vizuri na mishe mishe ili hali kipatikane kitu mkono uende kinywani pamoja na kuwa maisha yana mambo mengi pia hata mapenzi yanaleta uzito katika kuendeleza gurudumu la maisha lisonge ...nisiwachoshe labda tuende kwenye point
Ushauri kwa yaliyomfika huyu mwanaume mwenzetu iko ivi ..
Siku moja jamaa ilikuwa ni mida ya asubuhi kama ilivyokawaida huwa tunajiandaa na pilika za kwenda makazini na mishemishe za hapa na pale. Ni siku ambayo ilimtaka jamaa aingie kazini asubuhi sasa alihisi kuwa kachelewa ndipo alipochukua maamuzi ya kujua mda. Hapo alichukua simu ya mkewe ilikutazama muda ndipo alikutana na sms ila n ya mda kidogo takriban kama mwezi umepita . Ikisema ivi

Jamaa.... vipi ushachukua chumba ?
Mke wa jamaa ....ndio

Jamaa..sehemu gani?
Mke wa jamaa...sehemu fulani


Jamaa...nije?
Mke wa jamaa ..njoo

Na unapomuuliza anadai ni utani ni rafiki yake wa chuo huwa wanautani je kunautani wa kuitana gesti upo?

Sasa basi kama ww ndo mke wako unakuta ivo utachukua hatua gani isitoshe mnafamilia ya mtt mmoja na mmejenga wote ila bado hamjafunga ndoa ila ifahamike ukiishi na mwanamke ndani ya miezi mitatu ni mke wako kisheria je utachukua uamuzi gani ushauri wako muhimu sana
 
Last edited:
Hakuna utani wa hivyo kati ya mwanamke, kama hajaliwa anakaribia kuliwa.

Umekosea jukwaa mkuu.
 
Sheria ya ndoa haisemi hivyo mkuu...hayo ni maneno ya vijiweni....na sijaona unachocomplain mpaka upost kwenye jukwaa la complaints.
Sawa nieleweshe mkuu sheria inasemaje pia nn mchango wako kuhusu hapo
 
Hapo wala isiwe na wasi hao ni marafiki maana kuna jamaa mkewe nilisoma nae alikuta meseji za hivyo ,jamaa akaiiba simu akaanza kichati na mimi lipata ukweli mtupu ikiwemo kuadmit nikiwa chuo nilikuwa namtaka ,badae kaniuliza naionaje ndoa yake nilimsifia jamaa kinyama nikimtania afadhali aliachana na boya wake wa chuo ,huwezi amini jamaa antafuta na kunionyesha kila kitu sasa hivi mshikaji wangu sana hata jana nlikuwa naye baa,ila sasa cha kufanya igiza umemindi na jifanye huna amani,kisha muelimishe kuwa yeye ndo heshima yako sasa mfano jamaa akionesha rafiki zake je nao watajua utani au watakudharau na kukuona kicheche ningekuwa nakufahamu ningekupa mbinu zaidi,ila mkuu urafiki wa hivyo haufai
 
Najua utapata shida na maumivu mkuu,
Huyo keshaliwa!






Labda pengine yaweza kuwa... anavyosema
 
Wadau habari za majukumu natumai wengi mnaendelea vizuri na mishe mishe ili hali kipatikane kitu mkono uende kinywani pamoja na kuwa maisha yana mambo mengi pia hata mapenzi yanaleta uzito katika kuendeleza gurudumu la maisha lisonge ...nisiwachoshe labda tuende kwenye point
Ushauri kwa yaliyomfika huyu mwanaume mwenzetu iko ivi ..
Siku moja jamaa ilikuwa ni mida ya asubuhi kama ilivyokawaida huwa tunajiandaa na pilika za kwenda makazini na mishemishe za hapa na pale. Ni siku ambayo ilimtaka jamaa aingie kazini asubuhi sasa alihisi kuwa kachelewa ndipo alipochukua maamuzi ya kujua mda. Hapo alichukua simu ya mkewe ilikutazama muda ndipo alikutana na sms ila n ya mda kidogo takriban kama mwezi umepita . Ikisema ivi

Jamaa.... vipi ushachukua chumba ?
Mke wa jamaa ....ndio

Jamaa..sehemu gani?
Mke wa jamaa...sehemu fulani


Jamaa...nije?
Mke wa jamaa ..njoo

Na unapomuuliza anadai ni utani ni rafiki yake wa chuo huwa wanautani je kunautani wa kuitana gesti upo?

Sasa basi kama ww ndo mke wako unakuta ivo utachukua hatua gani isitoshe mnafamilia ya mtt mmoja na mmejenga wote ila bado hamjafunga ndoa ila ifahamike ukiishi na mwanamke ndani ya miezi mitatu ni mke wako kisheria je utachukua uamuzi gani ushauri wako muhimu sana
1.Ningempa kipigo cha mbwa koko

2.nyumba tuliyojenga wote namuandika mtoto kama mmiliki

3.namfukuza mama yake

4.mtoto akimlilia sana mama ake namrudisha ila silali nae tenaaa
 
Ukiona manyoya ujue...

Nawe fanyia mtu utani utani kama yeye... akikufuma na kukuliza mwaambie ni utani tuu... aki panic... tafakari chukua hatua jibu ushapata...


Cc: mahondaw
 
Uamuzi unao mwenyewe.

Kama unamtaka,potezea.
Kama humtaki usipotezee.

Gombana wee ila msimamo wake ni utani,gombana sana mpaka muachane.
 
Wadau habari za majukumu natumai wengi mnaendelea vizuri na mishe mishe ili hali kipatikane kitu mkono uende kinywani pamoja na kuwa maisha yana mambo mengi pia hata mapenzi yanaleta uzito katika kuendeleza gurudumu la maisha lisonge ...nisiwachoshe labda tuende kwenye point
Ushauri kwa yaliyomfika huyu mwanaume mwenzetu iko ivi ..
Siku moja jamaa ilikuwa ni mida ya asubuhi kama ilivyokawaida huwa tunajiandaa na pilika za kwenda makazini na mishemishe za hapa na pale. Ni siku ambayo ilimtaka jamaa aingie kazini asubuhi sasa alihisi kuwa kachelewa ndipo alipochukua maamuzi ya kujua mda. Hapo alichukua simu ya mkewe ilikutazama muda ndipo alikutana na sms ila n ya mda kidogo takriban kama mwezi umepita . Ikisema ivi

Jamaa.... vipi ushachukua chumba ?
Mke wa jamaa ....ndio

Jamaa..sehemu gani?
Mke wa jamaa...sehemu fulani


Jamaa...nije?
Mke wa jamaa ..njoo

Na unapomuuliza anadai ni utani ni rafiki yake wa chuo huwa wanautani je kunautani wa kuitana gesti upo?

Sasa basi kama ww ndo mke wako unakuta ivo utachukua hatua gani isitoshe mnafamilia ya mtt mmoja na mmejenga wote ila bado hamjafunga ndoa ila ifahamike ukiishi na mwanamke ndani ya miezi mitatu ni mke wako kisheria je utachukua uamuzi gani ushauri wako muhimu sana
Kumbe hujafunga nae ndoa lakini unaungulika moyoni si umpige chini tu, ukishamuoa ndo utaumia zaidi
 
Sheria ya ndoa ni miaka miwili sio miezi 3
Wadau habari za majukumu natumai wengi mnaendelea vizuri na mishe mishe ili hali kipatikane kitu mkono uende kinywani pamoja na kuwa maisha yana mambo mengi pia hata mapenzi yanaleta uzito katika kuendeleza gurudumu la maisha lisonge ...nisiwachoshe labda tuende kwenye point
Ushauri kwa yaliyomfika huyu mwanaume mwenzetu iko ivi ..
Siku moja jamaa ilikuwa ni mida ya asubuhi kama ilivyokawaida huwa tunajiandaa na pilika za kwenda makazini na mishemishe za hapa na pale. Ni siku ambayo ilimtaka jamaa aingie kazini asubuhi sasa alihisi kuwa kachelewa ndipo alipochukua maamuzi ya kujua mda. Hapo alichukua simu ya mkewe ilikutazama muda ndipo alikutana na sms ila n ya mda kidogo takriban kama mwezi umepita . Ikisema ivi

Jamaa.... vipi ushachukua chumba ?
Mke wa jamaa ....ndio

Jamaa..sehemu gani?
Mke wa jamaa...sehemu fulani


Jamaa...nije?
Mke wa jamaa ..njoo

Na unapomuuliza anadai ni utani ni rafiki yake wa chuo huwa wanautani je kunautani wa kuitana gesti upo?

Sasa basi kama ww ndo mke wako unakuta ivo utachukua hatua gani isitoshe mnafamilia ya mtt mmoja na mmejenga wote ila bado hamjafunga ndoa ila ifahamike ukiishi na mwanamke ndani ya miezi mitatu ni mke wako kisheria je utachukua uamuzi gani ushauri wako muhimu sana
 
Back
Top Bottom