mkonomtupu
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 441
- 118
Cheki Watoto Wa Tz WalivyoHaribika:
Wazir Wa Ujenz Magufuli,
Alifanya Mkutano Akasema mtu Yeyote
Akijenga Pemben Mwa Barabara hiyo
Nyumba Tutaiwekea X, Akashanga
Watoto Wanashangilia Kwa Furahaa.
Akakaita Katoto Kamoja akakauliza
Mbona Mnafurahi? Kakamjbu Bora
Ulete X Za Kiswahili 2mechoshwa Za
Kizungu ambazo hata shanga
hawavai.
Maguful Hoi chezea watoto wa siku hiz weye!
Wazir Wa Ujenz Magufuli,
Alifanya Mkutano Akasema mtu Yeyote
Akijenga Pemben Mwa Barabara hiyo
Nyumba Tutaiwekea X, Akashanga
Watoto Wanashangilia Kwa Furahaa.
Akakaita Katoto Kamoja akakauliza
Mbona Mnafurahi? Kakamjbu Bora
Ulete X Za Kiswahili 2mechoshwa Za
Kizungu ambazo hata shanga
hawavai.
Maguful Hoi chezea watoto wa siku hiz weye!