Utamu wa public car!!

Mfadhaiko at its highest level!
 
usiombe upande gari za msata au kimanzi,umo watu wamepakata bata,wengine wamebeba mbuzi.wengine wanatafuna mahindi ya kuchoma,mayai,mihogo ya kuchemsha,uduvi,mabumunda,miguu ya kuku,wengine wanakula askirimu.kiti cha kukaa wawili mnawekwa wanne utaki shuka abiria wapo wengi,uko hakuna kutongozana kama kwenye yale mabus ya abood ya kwenda moro..
 
<br />
<br />
u must be good at those blowing stuffs..dunga dunga mkubwa utaja umbuka siku moja
 
hahahahahahahaa! Tena iwe daladala ya kwenda GONGO LA MBOTO, safari ndefu!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
u must be good at those blowing stuffs..dunga dunga mkubwa utaja umbuka siku moja
<br />
<br />
wenyewe wanafurahia.
 
<br />
<br />
Wewe sio mzima hem tikisa kichwa chako kama hakilii kama yai lililooza
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Wewe sio mzima hem tikisa kichwa chako kama hakilii kama yai lililooza
<br />
<br />
hapa akili ipo. We utakuwa haujawah onja hii ladha. Network inakuwa full.
 
Ujue unapopata nafasi ya kuwa dereva wa magari ya serikali au ukawa bosi wa ofisi ya serikali ukiwa na uwezo wa kutoa amri ya matumizi ya vitu vya ofisini ikiwemo matumizi ya magari. Ni vizuri kutumia vitu endapo vitakuwepo na kwa kuwa magari ya serikali yanamafuta yakutosha kwa hiyo ni vizuri kutumia kabla ujaondoka kwenye kiti.
Endapo mimi nitakuwa bosi nitatumia magari ya serikali kusaidia kazi za nyumbani ikiwemo kuchota maji kupeleka mbuzi kwenye marisho na yale mazuri mazuri yakiwemo maPRADO, MIS DIZ BENZ kama yakuwepo nitatumia kwenye kuniletea vinywaji na kunipeleka BAR kukutana na marafiki zangu.
 
<br />
<br />
kisa?
 
Kazi kuwaza ngono tuuu badala ya kufikiria kwa makalio!!!
 
<br />
<br />
Sirlimu una balaa wewe....starehe gani hiyo?!!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Sirlimu una balaa wewe....starehe gani hiyo?!!
<br />
<br />
starehe zipo za aina nyingi. Hiyo ni mojawapo.
 
aiseee.. kuna siku nikiwa ndani ya iyo transport tukiwa tumeshikilia bomba kutu-support,bahati mbaya nilishika
pamoja na wigi la dada mmoja, mara mwenzangu akapata seat, ile anaenda kukaa wigi likabaki kwenye bomba.
eeh bana eehee yaani kichwani kwake kulikuwa na vijigodoro kibao na nywele zipo hovyo kweli. nadhani alitoka
kitandani na kuvaa wigi.
 
dah! toka Kariakoo mpaka Mbagala unarudi zako 2 safi kabisa
 
hahaha! kwa sheria ya Uingereza dada huyu angeweza kukushtaki na kudai fidia kwa kumsababishia hadhi yake kushuka ndani ya jamii iliyokuwepo kwenye usafiri huo 'causing peculiar embarassment'.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…