kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,319
- 12,622
Kwetu sisi jeneza, machela Na kubebwa mzegamzega kama alivyotambulishwa Okrah yanga in mkosi, uchuro, Na ishara mbaya kwa mbebwaji. Mechi ya kwanza tu dk ya 15 tayari Okrah anataka kuuawa kiwanjani tena kwa makusudi kabisa katikati ya kiwanja ambako hakuna hatari yoyote kwa KVZ kufungwa bao na okrah.
Tusizidishe mbwembwe jamani. Ona Skudu nae mbwembwe zilizidi mno kwenye utambulisho wake nae akaumia dk 10 tu za mwanzo. Tujifunze kumpa sifa zote mwenyezimungu badala ya mtu. Ni heri tuwatambulishe wachezaji wetu kwa kuwwkabidhi kwa mungu (kaswida, mapambio, maulid, na dua) awalimde kuliko kufuru za vile kwa mwenyezimungu
Tusizidishe mbwembwe jamani. Ona Skudu nae mbwembwe zilizidi mno kwenye utambulisho wake nae akaumia dk 10 tu za mwanzo. Tujifunze kumpa sifa zote mwenyezimungu badala ya mtu. Ni heri tuwatambulishe wachezaji wetu kwa kuwwkabidhi kwa mungu (kaswida, mapambio, maulid, na dua) awalimde kuliko kufuru za vile kwa mwenyezimungu