Utakuwa wapi Oktoba 25, 2015?

Ukiacha udadapoa na akili zitakurudia.
Hapo ulipo si shemeji akija tu unamshobokea anakutoa? Subiri siku akichafukwa utaenda kujiuza pale kimboka 🙁

Kurukaruka kwa maharage ndiyo kwake wewe tengeneza njia ya JPM kuingia Ikulu, unajidai kupoteza kumbukumbu wakati ukweli unaujua!
 

usisahau kalamu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…