Pastor Silla
Senior Member
- Sep 22, 2020
- 162
- 166
- Thread starter
-
- #21
Imani ya kweli uja kwa kusikia neno la Kristo na imani pasipo matendo imekufa uwezi kusema unampenda Mungu au unamuamini halafu unakwenda kinyume na neno au utaratibu wake hiyo imani no bure kwa namna hiyo.Dini ni imani.Matendo ni mtu binafsi
Akitafuta atapataAmesema umuoneshe kanisa ambalo vipofu wanaona, viwete wanatembea, maskin wanakua matajiri
Kanisa nalochunga Mimi tu watu wamefunguliwa na wamepokea miujiza yao Sana tu.Karibu na wewe upokee muujiza wako mpendwa...Sijakataa Mungu hashindwi, ila nioneshe hata Kanisa moja ambalo vipofu wanaona, viwete wanatembea, nk maana hizo ndo kazi zinatakiwa kuonekana katika nyumba za Mungu wa kweli...
Ndio sababu nimesema Imani kwa nyakati hizi, zinalea uovu...
Hakuna utajiri wa namna hiyo.
Dini si Imani;Dini Ni mfumo mwanadamu aliojiwekea kumtafuta Mungu.Dini ni imani.Matendo ni mtu binafsi
Ukisoma Zaburi 24 Biblia inasema nchi na vyote vijazavyo Dunia pamoja na wewe Ni Mali ya Bwana.Utajiri kutoka kwa Yesu ni uwongo uliokubuhu. Yeye anasema tafuteni ufalme wa Mungu, mengine yote ni kwa ziada. Yesu alipochukuliwa na shetani pake mlimani ilidhihirisha wazi kuwa utajiri wa dunia ni mali ya shetani. Zingatia " kwa tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano." Ndugu yangu unavyoviona sivyo vilivyo, Kuna ushetani wa ajabu.
Kwasababu mchungaji Bosi wake Ni Mungu na watenda kazi ni waumini.Na Mungu ameweka mfumo huo na amesema afanyae kazi ya Injili atapata riziki kupitia Injili.Pastor Silla Ni Kwanini Muumini anapotaka GARI au kitu kingine Chenye thamani kubwa, mchungaji huagiza aombewe ili Ikipate kitu hicho LAKINI Sasa mchungaji anapohitaji kitu chenye thamani kubwa anaomba Waumini wake Wamchangie..!?
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sasa utaprove vipi ikiwa UNATAKIWA uone tukio likifanyika.Miujiza ya kweli ipo ndugu Tena wewe ukiokoka utaweza kumuombea mtu na kupona.Sijakataa Mungu hashindwi, ila nioneshe hata Kanisa moja ambalo vipofu wanaona, viwete wanatembea, nk maana hizo ndo kazi zinatakiwa kuonekana katika nyumba za Mungu wa kweli...
Ndio sababu nimesema Imani kwa nyakati hizi, zinalea uovu...
2Wakor 8:8 Biblia inasema Yeye(Yesu) alijifanya masikini ili sisi tuwe matajiri.Ukimng'ang'ania Yesu aliyekataa utajiri mbele ya shetani atakupa utajiri kweli? Alisema maisha ni mafupi, utajiri wa nini? Ila wasioangalia makunyanzi ndio matajiri. Anaepasua sala kwa kwenda mbele na kutoka moyoni ni kapuku wa kutupwa.