Utajiri wa kichawi

D Metakelfin

JF-Expert Member
Mar 23, 2017
3,383
3,643
Wakuu
HABARI zenu na imani wengi mu wazma wa afya na mnaendelea vyema na majukumu ya kimaendeleo na kwa wale ambao sio wazma poleni sana nawaombea mpone na muendelee na shughuli zenu

Takribani miezi sita iliyopita rafiki yangu mpendwa ambae sitamtaja jina alipatwa na msiba wa kuondokewa na mdogo wake wa kiume ambaye alikuwa ni mwanafunzi wa kidato cha nne akiwa amebakiwa na mda mchache afanye mtihani wake wa mwisho.
Kwa kweli mimi nilikuwa mmoja ya watu tulioumizwa sana na kifo hicho ukizingatia siku moja kabla ya kifo hicho kutokea nilimuona marehemu akiwa mzma wa afya.
Siku ya msiba wazazi wa marehemu walilia sana ikafikia hatua mpaka mama wa marehemu kupelekwa hospitali kwani alikuwa akipoteza fahamu mara kwa mara baba wa marehemu nae alilia mpaka macho yakamvimba.
Lakini wakuu kitu kinachonishangaza na kunipa maswali ni utajiri wa ghafla ulioanza kuchipua mara baada ya kifo cha mtoto huyo.Walikua wakiishi katika nyumba ya kawaida tena ya hali ya chini lakini sasa wamezungushia uzio pia wameweka umeme na maji na hivi karibuni wamenunua hiace na gari ndogo(forester used).
Najua wengi mnaweza kudhani labda ni jitihada zao binafsi lakini nadhani mapato yao ni tofauti na mali walizoanza kuzimiliki baada ya kifo cha mtoto huyo.
Baba ni dereva hiace na mama anauza mgahawa huko uswahilini.
Wakuu sidhani kama kweli kwa akili mlzonazo ma-greater thinkers mnaona mali hzo znaendana na kazi hizo.
Zaidi namsikitikia mtoto huyo kwani nadhani ndiye mzalishaji wa mali hizo huko katika ulimwengu wa giza.
wale msioamini uchawi mpo?
Wanaoelewa zaidi kuhusu mambo ya giza nadhani mtatuongezea elimu zaidi
Sipendi povu
 
Wewe K NI K Kwanini Umewaza moja kwa Moja katika nguvu za giza hujawaza Labda kuna jambo jingine limewapa neema? Kwani forester used ni bei gani?

Halafu unajua kuna Madereva daladala wanalala na faida mpaka laki moja kwa siku? fanya tafiti ndugu.

Siamini kama kun kupata hela kwa njia za giza. kwa usawa huu wa awamu ya tano tungepanga foleni kwa hao waganga kama ilivyokua kwa babu wa loliondio
 
Binadamu bhanah!.

Inakubidi kama ndugu yako akifariki, kama una mipango uliyopanga kutekeleza siku za Karibuni inakubidi usikitishe kwanza kwa sababu ukitekeleza tu wanajua umemuondoa wewe.

Hiyo ni mipango ya mufa mrefu tu ambayo huenda walipenda kuyatekeleza sasa. Bahati mbaya sana mtoto wao alifariki kipindi kifupi kilichopita, binadamu huanza chokochoko.
 
Wewe K NI K Kwanini Umewaza moja kwa Moja katika nguvu za giza hujawaza Labda kuna jambo jingine limewapa neema? Kwani forester used ni bei gani?

Halafu unajua kuna Madereva daladala wanalala na faida mpaka laki moja kwa siku? fanya tafiti ndugu.

Siamini kama kun kupata hela kwa njia za giza. kwa usawa huu wa awamu ya tano tungepanga foleni kwa hao waganga kama ilivyokua kwa babu wa loliondio
Mkuu biashara ya daladala ni ngumu sana na sidhani kama ni rahisi kununua hiace yako mwenyewe gari ya kutembelea,kujenga tena ni kwanini iwe baada ya kifo
 
Inawezekana kabisa mtu akapata utajiri wa haraka kabisa kwa kutumia njia za giza kwa kumtoa kafara mwanadamu mwenzio (hasa mtu wa karibu wa ukoo). Hata kwenye Biblia ipo mistari (wala sio mmoja) inayoonyesha kwamba kweli mtu anaweza kupata mali na vyeo kutoka kwa shetani.
 
A recent study from the University of Helsinki has suggested that religious people are more likely to have a poor understanding of the world.

It claims that those with a belief in God are more likely to think that inanimate objects, such as metal and oil can think and feel.

Researchers say that the findings suggest people's lack of understanding about the physical world means they apply their own rules, 'resulting in belief in demons, gods, and other supernatural phenomena'.

Participants were asked how much they agreed with the statement 'there exists an all-powerful, all-knowing, loving God' and if they believed in paranormal phenomena such as ghosts and psychic visions.

They were also tested on a range of other topics, including intuitive physics skills and understanding of basic biology.

The results showed that religious people tend to base their actions on instinct, rather than analytical thinking.

So, which part do you believe in?
 
Back
Top Bottom