UTAFITI: Mahakimu wengi huishi kwa woga, hofu na kujificha mtaani. Hawajiachii kama raia wengine

Mdakuzi mkuu

JF-Expert Member
Dec 27, 2016
212
720
Salaam ndg wajumbe, wakubwa kwa wadogo!

Mahakimu wengi hapa nchini wa mahakama 'nzito' na zile za mikoani,huishi kwa hofu na woga mkubwa sana mioyoni mwao, tofauti na kada kama maaskari, waalimu, madaktari, mahandisi, vinyozi na bodaboda.Imefahamika.

Maeneo kama Clubs, Bars, vijiweni, uchochoroni, kwenye sinema au tu mijini katikati,hawapendeleagi hawa watu.Hawaonekani kabisa hata kwenye jumuiya, makanisani!

Wanapendelea sana kuishi maisha ya pembe tatu (triangle) yaani KAZINI -> NYUMBANI -> BENKI. Hata raha ya elimu zao hawaioni.

Hawa ndugu zetu huishi kwa kunyata sana. Hawajiamini mtaani.

Huwa wanaogopa nn kujichanganya mtaani kama kada zingine? Kwani kuna shida? Mbona amani tu street.
 
Usisahau pia kubeba mahirizi makubwa makubwa na kujizindika mazindiko mazito mazito...

Kumpiga mtu mvua akafie selo sio kazi ya kitoto, hasa kama ndugu jamaa na marafiki zake wengine wanajua unapoishi, unapolewa na kanisa unalosali.
 
Acha wataabike, wengi wao wanatumika vibaya. Mimi sina shida nao ila akijitokeza walao mmoja akaingia kwenye 18 zangu atazisoma herufi.
images.jpeg
 
Hii kazi hainaga kujiachia,na kama yuko kwenye sehemu fulani anakula bata anawasuwasi kama anauza bata.
 
Tabia zilizopindukia za kulakula rushwa na kupindisha sheria ili kudhulumu haki za watu wengine zimewafanya waishi hivyo kwa kujifichaficha, nafsi zinawasuta!! Hawana tofauti na mapolisi!
 
Tabia zilizopindukia za kulakula rushwa na kupindisha sheria ili kudhulumu haki za watu wengine zimewafanya waishi hivyo kwa kujifichaficha, nafsi zinawasuta!! Hawana tofauti na mapolisi!
Fact
 
Dictionary yangu ya kichwan inaniambia Jugde kwa kiswahili maana yake HAKIMU au nimekosea?
Bora hao mahakimu hats kuonekana wanaonekana
MaJudge hata sura zao mitaani hazipaswi kuonekana kizembezembe!
 
Dictionary yangu ya kichwan inaniambia Jugde kwa kiswahili maana yake HAKIMU au nimekosea?

Judge = Jaji : Huyu anaendesha kesi Mahakama kuu na Mahakama ya Rufaa.

Magistrate = Hakimu : Huyu huendesha kesi kuanzia Mahakama za Mwanzo hadi Mahakama za Wilaya na Mkoa.

Hivyo basi Jaji na Hakimu kinachowatofautisha ni aina/level ya Mahakama wanazotumikia. Majaji wapo juu ni wakubwa kuliko Mahakimu.

Kama hujaelewa muulize MUNGU
 
[quote uid=406396 name="Mdakuzi mkuu" post=19450392]Salaam ndg wajumbe, wakubwa kwa wadogo!<br /><br />Mahakimu wengi hapa nchini wa mahakama 'nzito' na zile za mikoani,huishi kwa hofu na woga mkubwa sana mioyoni mwao, tofauti na kada kama maaskari, waalimu, madaktari, mahandisi, vinyozi na bodaboda.Imefahamika.<br /><br />Maeneo kama Clubs, Bars, vijiweni, uchochoroni, kwenye sinema au tu mijini katikati,hawapendeleagi hawa watu.Hawaonekani kabisa hata kwenye jumuiya, makanisani!<br /><br />Wanapendelea sana kuishi maisha ya pembe tatu (triangle) yaani KAZINI -&gt; NYUMBANI -&gt; BENKI. Hata raha ya elimu zao hawaioni.<br /><br />Hawa ndugu zetu huishi kwa kunyata sana. Hawajiamini mtaani.<br /><br />Huwa wanaogopa nn kujichanganya mtaani kama kada zingine? Kwani kuna shida? Mbona amani tu street.[/QUOTE]<br />What were the scientific tests that you used and tell me posible null and altenative hypothesis to support your research?how did you collect your data?research title shows invariability based on the noncomparable variable sasa how comes above all sectors you came up kwamba lawyers are habituated to that aspect of insecurity?
 
[quote uid=406396 name="Mdakuzi mkuu" post=19450392]Salaam ndg wajumbe, wakubwa kwa wadogo!<br /><br />Mahakimu wengi hapa nchini wa mahakama 'nzito' na zile za mikoani,huishi kwa hofu na woga mkubwa sana mioyoni mwao, tofauti na kada kama maaskari, waalimu, madaktari, mahandisi, vinyozi na bodaboda.Imefahamika.<br /><br />Maeneo kama Clubs, Bars, vijiweni, uchochoroni, kwenye sinema au tu mijini katikati,hawapendeleagi hawa watu.Hawaonekani kabisa hata kwenye jumuiya, makanisani!<br /><br />Wanapendelea sana kuishi maisha ya pembe tatu (triangle) yaani KAZINI -&gt; NYUMBANI -&gt; BENKI. Hata raha ya elimu zao hawaioni.<br /><br />Hawa ndugu zetu huishi kwa kunyata sana. Hawajiamini mtaani.<br /><br />Huwa wanaogopa nn kujichanganya mtaani kama kada zingine? Kwani kuna shida? Mbona amani tu street.
<br />What were the scientific tests that you used and tell me posible null and altenative hypothesis to support your research?how did you collect your data?research title shows invariability based on the noncomparable variable sasa how comes above all sectors you came up kwamba lawyers are habituated to that aspect of insecurity?[/QUOTE]
NIULIZE.
 
Back
Top Bottom