Coast haijawahi sumbua Simba katika hatua kama hizi. Coast ni daraja la Simba wakiwa latika wakati mgumu. Saidoo kama alitumia daraja hili kumfikia Mayeye. Wananchi msifikirie hii kutokea. Hata hivyo gape ya 7 points siyo dogo kwa form wenyenayo Yanga kuelekea ubingwa.