Hakika WOKOVU umekaribia, wewe ndio leo wa kuandika haya kweli? Shukrani sana sana, TUTASHINDAHuu utabiri uliyolewa na Hayati JKN
CCM imejaa mabwanyenye. Wameshiba. Wanajiamulia wanavyotaka.
Wanyonge wanataka mabdiliko kabla ya uchaguzi wa Oktoba 2025
Sio mbaya ukiahirishwa hata kwa mwaka lakini tupate Katiba mpya.
hayanihusu hayo mimi, najua mwenzako ameokoka, leo hii anauona ukweli, you are nextHaya majitu ya Sukuma Gang yalikuwa yanamshangilia Magufuli akiharibu nchi. Leo hii upepo hauko nao akina Idugunde wamebakia kulia lia tu mitandaoni
Leo unamuita Magufuli Dikteta? CCM hapa ndio mnanichanganya sana, mnafuataga upepoIdugunde hajawahi kuwa mwenzangu hata siku moja. Yeye alikuwa mfuasi wa Dikteta aliteyaribu mfumo wa Demokrasia yatu na utawala bora
Inamaana SUKUMA GANG tu ndiyo wanataka wizi wa kura usikome?Haya majitu ya Sukuma Gang yalikuwa yanamshangilia Magufuli akiharibu nchi. Leo hii upepo hauko nao akina Idugunde wamebakia kulia lia tu mitandaoni
Kabisa tusimame kidete uchafuzi huu wa October usitokee!Huu utabiri uliyolewa na Hayati JKN
CCM imejaa mabwanyenye. Wameshiba. Wanajiamulia wanavyotaka.
Wanyonge wanataka mabdiliko kabla ya uchaguzi wa Oktoba 2025
Sio mbaya ukiahirishwa hata kwa mwaka lakini tupate Katiba mpya.
Eeeh mwenyezi Mungu, tunakuomba Tanzania nzima tuandike RIPHuu utabiri uliyolewa na Hayati JKN
CCM imejaa mabwanyenye. Wameshiba. Wanajiamulia wanavyotaka.
Wanyonge wanataka mabdiliko kabla ya uchaguzi wa Oktoba 2025
Sio mbaya ukiahirishwa hata kwa mwaka lakini tupate Katiba mpya.
Huyu pimbi hawezi kukuelewa. Kichwa chake kinafunza.Inamaana SUKUMA GANG tu ndiyo wanataka wizi wa kura usikome?
Mkurugenzi wa TUME ateuliwe na mwenyekiti wa CCM?
Wanaokosoa mienendo mibovu ya serikali WATEKWE NA KUPOTEZWA?
Fikiria upya,duniani sote tunapita.