Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,431
- 7,948
ni utabiri tu ila na pia kwa hali ilivyo! mwenyenchi hatakuja MEI MOSI hata mkimwalika!.
alishasema lakin kuwa kapunguza 2% na mshahara mpya msubiri hali ikiwa poa!
hvo hawez kuja tena kwa kuwa nyie mkialikaga RAIS hamna kikubwa cha kumwambia zaid ya kusubir aseme atawapandishia mishahara!
mngekuwa mnaweka na maonyesho hata ya kazi mlizofanya mwaka mzma ingekuwa inaleta hamasa! hamjiongezi
alishasema lakin kuwa kapunguza 2% na mshahara mpya msubiri hali ikiwa poa!
hvo hawez kuja tena kwa kuwa nyie mkialikaga RAIS hamna kikubwa cha kumwambia zaid ya kusubir aseme atawapandishia mishahara!
mngekuwa mnaweka na maonyesho hata ya kazi mlizofanya mwaka mzma ingekuwa inaleta hamasa! hamjiongezi