Utaalam kwenye mapenzi..................!!!!! !!!!!!!!!!!!

Utaalam kwenye mapenzi..................!!!!! !!!!!!!!!!!!

TheDealer

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2012
Posts
2,424
Reaction score
1,132
Hallo wanaJF,

Kwa muda wangu wote wa kuwa katika OBSERVATIONS za masuala ya kimapenzi, nime-conclude kuwa hakuna mtaalam wa mapenzi ya mtu mwingine ama watu wengine, ila kila mtu ni mtaalam wa mapenzi yake yeye mwenyewe na mtu wake....!!!!

Tazama hii hapa:
1.kuwa na mwanamke mzuri, au mwanamme handsome ama tajiri sio mwisho wa wapendanao ku-cheat
2.kila siku iendayo kwa Mungu watu wanalalamika kuhusu mapenzi, ni km vile hakuna suluhisho la kudumu

Why:
nahisi kuwa mapenzi ni lugha maalum inayozungumzwa baina ya mioyo ya wapendanao, na kwa bahati mbaya sana moyo wa mtu mwingine alie nje ya mapenzi hayo hawezi kirahisi kusikia hio lugha wanayozungumza!!!!!

NB:
TAFAKARI KWA KINA, huenda ukanielewa na kukubaliana nami!!!!

NAWASILISHA,
VUNJA BEI.
 
UKO SAWA KABISA!!!!!! Tatizo w2 weng huwa hawapendi kuwa wakweli katika suala zima la mapenzi; mapenzi ni kama pipi tu, hutegemea mate ya mlaji. Mi huwa na principle 1 kwenye mambo hayo, najua kabisa utam wa mapenzi yangu ninao mimi mwenyewe - kwa mwenzangu natafuta ukamilisho tu.
 
UKO SAWA KABISA!!!!!! Tatizo w2 weng huwa hawapendi kuwa wakweli katika suala zima la mapenzi; mapenzi ni kama pipi tu, hutegemea mate ya mlaji. Mi huwa na principle 1 kwenye mambo hayo, najua kabisa utam wa mapenzi yangu ninao mimi mwenyewe - kwa mwenzangu natafuta ukamilisho tu.

Pale nilipo-underline......., km ningekuwa nafanya lecturing halafu nikaulizwa nimtaje mtu alienielewa vizuri, lazima ningekutaja mkuu, Aisee umenielewa hadi nashangaa maana ukiangalia hio threda yangu ni km vile sina uhakika kuwa watu watanielewa, big up sana mkuu!!!!!
 
Asante vunja bei kwa kuwasilisha

Toa maoni yako sasa Queen Kan .......... mapenzi yakinisumbua mwenzio, najua mm ndio tatizo maana mm ndio nimeanza kutongoza, so lazima nijicheki tena, hii ndio principle yangu!!!
 
Last edited by a moderator:
uko sahihi ilaaah!! tambua kuwa swala la mapenzi huwa halijaribiwi kama wengi wetu tunavyofanya; au halina mlinganisho kati ya couple na couple! Hiyo inakuwa deep in your hearts
 
Back
Top Bottom