Tatizo leo siku ya pili dili zote zinakwama, njia pekee ya kujifariji ni kuandika visivyoandikika.Konokono hana mfupa wowote kwenye mwili wake na pia konokono aina ya
"HERMAPHRODITES" kwa maana wanamiliki jinsia mbili (Kiume na Kike)
Kwenye kujamiiana wanaviziana, atakayeruhusu kupandwa ndo atataga mayai.Huyo ndo konokono lakini kitu pekee cha ajabu kabisa ni kuwa moja ya sifa anayofanana na binadamu ni kwamba akimeza Chakula misuli ya mkiani hujikaza sawa na BINADAMU AKIMEZA MATE makalio hubana kwa kipindi chote hadi mate yazame kooni.
Huwezi amini kuna watu wameshajaribu kumeza mate hata kabla hawajamaliza kusoma.
SIO KILA KITU KINAJARIBIWA MTAKUJAGA KUFA NYIE.
Konokono hana mfupa wowote kwenye mwili wake na pia konokono aina ya
"HERMAPHRODITES" kwa maana wanamiliki jinsia mbili (Kiume na Kike)
Kwenye kujamiiana wanaviziana, atakayeruhusu kupandwa ndo atataga mayai.Huyo ndo konokono lakini kitu pekee cha ajabu kabisa ni kuwa moja ya sifa anayofanana na binadamu ni kwamba akimeza Chakula misuli ya mkiani hujikaza sawa na BINADAMU AKIMEZA MATE makalio hubana kwa kipindi chote hadi mate yazame kooni.
Huwezi amini kuna watu wameshajaribu kumeza mate hata kabla hawajamaliza kusoma.
SIO KILA KITU KINAJARIBIWA MTAKUJAGA KUFA NYIE.
Wamewahi kunipikia Rosti ya hii kitu, ni tamu balaa...
Konokono hana mfupa wowote kwenye mwili wake na pia konokono aina ya
"HERMAPHRODITES" kwa maana wanamiliki jinsia mbili (Kiume na Kike)
Kwenye kujamiiana wanaviziana, atakayeruhusu kupandwa ndo atataga mayai.Huyo ndo konokono lakini kitu pekee cha ajabu kabisa ni kuwa moja ya sifa anayofanana na binadamu ni kwamba akimeza Chakula misuli ya mkiani hujikaza sawa na BINADAMU AKIMEZA MATE makalio hubana kwa kipindi chote hadi mate yazame kooni.
Huwezi amini kuna watu wameshajaribu kumeza mate hata kabla hawajamaliza kusoma.
SIO KILA KITU KINAJARIBIWA MTAKUJAGA KUFA NYIE.