jokes! uyo jamaa alifanya makusudi ni sawa na mwanafunz aliyeandika verse badala ya kujibu mtihani, mbona uozo wenu amuwek hapa.... na tutaaminije kama ni kwel au imetengenezwa ili kujisafisha! tUKUBALI UKWEL UONEVU NDO MANA MTU AD ANAAMUA KUTUMA MAOMBI AKIWA HANA IMAN KUWA ANAWEZA PATA NDO MAANA KAMA NI KWEL ANAFANYA UKICHAA WA NAMNA HIYO... sina hakika kwamba elimu yetu ya tz ni poor kwawba watu hawajui namna ya kuandika cover letter,! bali wamechoka na manyanyaso ya ajira! ni wakat wa kubadirika watz turud ya mwaka 1980's hali ya urushwa haikuwepo ndugu zangu saiz had kupata msaada pccb unatoa rushwa sasa nani mkomboz wa raia?
Boi unajua hesabu za makadirio?
Wimbi la wataka kazi ni kubwa sana kuliko ajira ambazo Serikali inaweza kutoa kwa hiyo usishangae ukaomba kila siku, kila mwaka na bado ukakosa.
Huwezi kutetea ukichaa kwa kigezo cha uonevu aisee, maana yake ni kuwa huyu mtu akiajiriwa wakimtibua tu kidogo kazi hazifanyiki, sio?
Sijui hasa ubora wa elimu yetu, lakini ukweli ni kuwa watu hawajui kuandika 'kava leta' bila kujali elimu yao, ushahidi mdogo ni hata uandishi wao wa mtandaoni na SMS, chunguza vema.
Kingine ni uvivu wa kusaka fursa mkuu, fikiria CV mtu anaomba template afanye kuhariri tu, barua za kazi hivyo hivyo na kadhalika. Inakuwaje kama huyu unaemuomba akutumie mfano wa barua wewe ujaze taarifa zako tu anakuwa amekosea, na wewe unakosea automatikale...
Kingine kinachoonesha uvivu ni kale kamtindo ka nisaidie kupost, kuna watu kadha niliwaonesha fursa, anakuambia ukiandika barua muandikie na yeye, si umburula huu kaka? Mtu ambae kazi ndio mkombozi wake anataka kijana mwenzake umfanyie harakati.
Ukishaona dalili kama hizi jiulize hao watu wana kiwango gani cha kujitoa na kufanya kweli harakati za kusaka kazi... Kumbuka harakati za kutafuta kibarua haziishi kwenye kuandika maombi ya kazi na kungoja kuitwa usaili pekee, ni jambo pana na mtambuka!