Dr leader
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 1,043
- 1,314
Usiwaamini wanaofanya dharau kuwa jambo la kawaida
Wanapokupotezea — wanadai wako busy.
Wanapokukosea— “human nature.”
Lakini wewe ukifanya hata nusu ya hayo ghafla umebadilika,
Umeanza kiburi,
Wewe ndio tatizo,
Hiyo sio bahati mbaya… hiyo ni tabia yao.
“Watu wengi hawana shida na maumivu ya wengine… wanachukia tu wanapoyapata wao.”
Wanakufanya ulie.
Wanakuumiza huku wanaheka.
Wanakudharau halafu wanaona ni utani tu.
Lakini siku unawarudishia ladha ile ile—
wanaitisha kikao cha dharura kukujadili
“Heshima sio hisia ni mipaka.”
Ukiwa mpole sana, wanakukanyaga.
Ukiwa mvumilivu sana, wanakuzoea.
Ukiwa mzuri kupita kiasi, wanakutumia.
“Usijieleze sana kwa mtu anayejua anachokufanyia.”
Hawa sio wajinga.
Wanajua wanakuumiza.
Wanajua wanakudharau.
Tofauti ni moja tu
wanaamini hutafanya chochote.
Na kwa muda mrefu… ulikuwa sahihi kwao.
✍️Abuuabdillah
Wanapokupotezea — wanadai wako busy.
Wanapokukosea— “human nature.”
Lakini wewe ukifanya hata nusu ya hayo ghafla umebadilika,
Umeanza kiburi,
Wewe ndio tatizo,
Hiyo sio bahati mbaya… hiyo ni tabia yao.
“Watu wengi hawana shida na maumivu ya wengine… wanachukia tu wanapoyapata wao.”
Wanakufanya ulie.
Wanakuumiza huku wanaheka.
Wanakudharau halafu wanaona ni utani tu.
Lakini siku unawarudishia ladha ile ile—
wanaitisha kikao cha dharura kukujadili
“Heshima sio hisia ni mipaka.”
Ukiwa mpole sana, wanakukanyaga.
Ukiwa mvumilivu sana, wanakuzoea.
Ukiwa mzuri kupita kiasi, wanakutumia.
“Usijieleze sana kwa mtu anayejua anachokufanyia.”
Hawa sio wajinga.
Wanajua wanakuumiza.
Wanajua wanakudharau.
Tofauti ni moja tu
wanaamini hutafanya chochote.
Na kwa muda mrefu… ulikuwa sahihi kwao.
✍️Abuuabdillah