Usituchefue tunakula, wazee bana

Usituchefue tunakula, wazee bana

kbmk

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2013
Posts
776
Reaction score
158
Kijana flani anapita karibu na mama ntilie kuleeee kigogo majira ya saa moja watu wanapata dinner mezani nje kweupe mambo ya dar biashara usiku mchana tunafunika meza. Gafla mdudu kaingia mdomoni mwa kijana akamtema mzee anafoka na kumfuata mzee pumbaf cc tunakula unatuchefua hapa mdudu kaingia puani kwa mzee looo nae kammeng'a na kutoa mapande ya makamasi fyuuuuuu fyuuu majamaa wengine mzee mpuuzi nini ebu peleka kule upuuz wako.........
 
Back
Top Bottom