Usitafute Sifa Ukweni. Wanakusanifu

Si alitaka aonekane Kidume kuliko wenzie waliomtangulia kuo Uchagani!! Sasa apambane na hali yako!! Mimi nimeoa Uchagani lakini Wakwe na Mashemeji zangu hawawezi kuja tu mbele na kuanza kuleza matatizo yao kwangu,lazima watapitia kwa Wife,ambae ni rahisi kumpa jibu ili apeleke ujumbe kwa ndg zake!!
 

Pole mkuu. Inaonesha ulitendwa vilivyo. Umeandika kwa gadhabu hasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…