Usirogwe ukaoa nyumba ndogo

alipoamua kua nyumba ndogo nt necessary alikosa wa kumuoa so usitake mbadilisha mawazo yake juu ya ndoa kwani alihitaji uhuru , kumilikiwa napo kuna gharama zake
 
Hata mke wa ndoa anaweza kukusaliti kuliko hata hiyo nyumba ndogo unayoisema;
Familia nyingi tu zina watoto wa nje ya ndoa; huu siyo zaidi ya usaliti ni nini.
Afadhari hata watoto wa nje ya ndoa wanaolelewa hukooo... Lakini nyie akina Mamndenyi watoto wa nje wa ndoa mnawalea ndani ya ndoa...

 
alipoamua kua nyumba ndogo nt necessary alikosa wa kumuoa so usitake mbadilisha mawazo yake juu ya ndoa kwani alihitaji uhuru , kumilikiwa napo kuna gharama zake
Kumiliki nako kuna gharama zake tena mara kumi zaidi ya kumiliki ndo maana kuna watu saa ingine wanakufa vifo vya ghafla kisa kafumania nyumba ndogo halafu ikamtoa baru uuuuwiii inauma mno
 
alipoamua kua nyumba ndogo nt necessary alikosa wa kumuoa so usitake mbadilisha mawazo yake juu ya ndoa kwani alihitaji uhuru , kumilikiwa napo kuna gharama zake
Kumiliki nako kuna gharama zake tena mara kumi zaidi ya kumiliki ndo maana kuna watu saa ingine wanakufa vifo vya ghafla kisa kafumania nyumba ndogo halafu ikamtoa baru uuuuwiii inauma mno
 

Bado cjaona sababu ulizoziweka za kutosababisha kwa nyumba ndogo
 

kichwa cha habari "usidiri kuoa nyumba ndogo" ukioa atakuwa nyumbandogo au mke mdogo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…