Usipoaangalia utalamba matapishi

Usipoaangalia utalamba matapishi

jogger

Member
Joined
Sep 8, 2017
Posts
16
Reaction score
8
Naandika haya ikiwa nina ushawishi wa kurudiana na mwanake aliyenisaliti kwa mwanaume mwingine.
Muda si mrefu uliyopita niliomba ushauri kuhusu mwanamke aliyesilati na hatimaye kuweka ngumu kuondoka nyumbani..nashukuru kwa ushauri mlionishauri hayimaye niliweza kumrudisha kwao japo simu na sms zake za msamaa hazikomii. Ila mwanaume nimeshaweka msimamo simtaki!!
Ila kiukweli nisidanganye ni kwamba sa nyingine nafikiria kumrudisha napokuwa mpweke nikifikiria mapenzi aliyokuwa ananipa na mbaya zaidi nikiangalia nibomu navyopata kutoka kwa hawa wanawake wa mjini niliyowatafuta kwa ajili ya kuniliwaza.
Ila tena nikiwaza jinsi mwanaume mwingine aliyekuwa akimpumulia mwananke wangu nasita kumrudisha hasa nikifikiria huyo mwanaume alivyokuwa anamsifu mwanamke wangu alivyomkatikia.


Kwa kweli usipoangalia utarudi kule kule na utaoneka fala wa karne!!
 
Mkuu kama unampenda mrudishe tu. Usiogope watu. Et watanicheka. Wake zawatu tunaewaona wakitoka ni wa ngapi? Alafu kuna kitu huw mi kinanipa ujinga flani, mwanaume akifumania mkew anafukuza. Mda huo ana mchepuko nje au ananunua hata changundoa.
 
Mkuu kama unampenda mrudishe tu. Usiogope watu. Et watanicheka. Wake zawatu tunaewaona wakitoka ni wa ngapi? Alafu kuna kitu huw mi kinanipa ujinga flani, mwanaume akifumania mkew anafukuza. Mda huo ana mchepuko nje au ananunua hata changundoa.
Mkuu hawa watu ukiwarudisha lazma warudie. Kum jamaa hapa kazini alichepuka na mke wa mtu mume kakuta sms, sasa mwanamke anamwambia mchepuko wake, "subiri jamaa hasira zake zitaisha", mambi kama haya ndo yananipa mashaka
 
Pole maan huna maamuzi sahihi hujui unachotaka hasa ni nin..endelea kubembea
 
Mkuu hawa watu ukiwarudisha lazma warudie. Kum jamaa hapa kazini alichepuka na mke wa mtu mume kakuta sms, sasa mwanamke anamwambia mchepuko wake, "subiri jamaa hasira zake zitaisha", mambi kama haya ndo yananipa mashaka
Mkuu siyo wote ungejaribisha kumurudisha. Lakini unaweka masharti magumu.
 
Jomba endelea kukaza, ukianza kuvutia picha utamu wa papuchi utakuta unamrudisha!!

Papuchi ni hatari kwa afya ya ubongo!!
 
Jomba endelea kukaza, ukianza kuvutia picha utamu wa papuchi utakuta unamrudisha!!

Papuchi ni hatari kwa afya ya ubongo!!
ki ukweli nalikivuta hisia umbo lake na jinsi nilivyo mwenyewe naona nimrudishe.Ila sioni kama ni wife material
 
Mkuu jogger aombaye msamaha,usamehewa..
Kufanya kosa si kosa,bali kurudia kosa...
Usiishi kwa kuangalia watu watakuonaje.. Fata moyo wako.
Ungejua ni sababu zipi zilimfanya bidada achepuke wenda ingekua rahisi kutoa maamuzi ya 1 kwa 1


- Satan -
 
Mkuu jogger aombaye msamaha,usamehewa..
Kufanya kosa si kosa,bali kurudia kosa...
Usiishi kwa kuangalia watu watakuonaje.. Fata moyo wako.
Ungejua ni sababu zipi zilimfanya bidada achepuke wenda ingekua rahisi kutoa maamuzi ya 1 kwa 1


- Satan -
Mkuu yeye anasema ni shetani. Sasa mkuu ukimrudisha ni kwamba shetani amekufa au? Sasa shetani si bado yupo?
 
ukitaka kuachana na mtu kama huyo cku zote kumbuka mabaya alio kufanyia ukikumbuka na mema na starehe mlizokuwa mnafanya pamoja utajikuta unakwenda kuyalamba matapishi uliyo yatapika mwenyewe
 
Siku hizi hakuna papuchi ya peke yako, kama umeshawahi kupata papuchi ya mwanamke mwengine. Basi jua alikuwa na mwenyewe na huyu wako kaliwa kama ulivyowala wa wenzio. Mimi hapa namvizia ex-wangu wa miaka 3 iliopita niile papuchi yake tena. Manake alikuwa mtamu sana
 
Naandika haya ikiwa nina ushawishi wa kurudiana na mwanake aliyenisaliti kwa mwanaume mwingine.
Muda si mrefu uliyopita niliomba ushauri kuhusu mwanamke aliyesilati na hatimaye kuweka ngumu kuondoka nyumbani..nashukuru kwa ushauri mlionishauri hayimaye niliweza kumrudisha kwao japo simu na sms zake za msamaa hazikomii. Ila mwanaume nimeshaweka msimamo simtaki!!
Ila kiukweli nisidanganye ni kwamba sa nyingine nafikiria kumrudisha napokuwa mpweke nikifikiria mapenzi aliyokuwa ananipa na mbaya zaidi nikiangalia nibomu navyopata kutoka kwa hawa wanawake wa mjini niliyowatafuta kwa ajili ya kuniliwaza.
Ila tena nikiwaza jinsi mwanaume mwingine aliyekuwa akimpumulia mwananke wangu nasita kumrudisha hasa nikifikiria huyo mwanaume alivyokuwa anamsifu mwanamke wangu alivyomkatikia.


Kwa kweli usipoangalia utarudi kule kule na utaoneka fala wa karne!!
Kuna msemo unasema hivi "ukicheua matapishi unatema chini, ila ukicheua keki huna budi kuimeza tena"....

Nafikiri umenielewa vizuri....
 
Naandika haya ikiwa nina ushawishi wa kurudiana na mwanake aliyenisaliti kwa mwanaume mwingine.
Muda si mrefu uliyopita niliomba ushauri kuhusu mwanamke aliyesilati na hatimaye kuweka ngumu kuondoka nyumbani..nashukuru kwa ushauri mlionishauri hayimaye niliweza kumrudisha kwao japo simu na sms zake za msamaa hazikomii. Ila mwanaume nimeshaweka msimamo simtaki!!
Ila kiukweli nisidanganye ni kwamba sa nyingine nafikiria kumrudisha napokuwa mpweke nikifikiria mapenzi aliyokuwa ananipa na mbaya zaidi nikiangalia nibomu navyopata kutoka kwa hawa wanawake wa mjini niliyowatafuta kwa ajili ya kuniliwaza.
Ila tena nikiwaza jinsi mwanaume mwingine aliyekuwa akimpumulia mwananke wangu nasita kumrudisha hasa nikifikiria huyo mwanaume alivyokuwa anamsifu mwanamke wangu alivyomkatikia.


Kwa kweli usipoangalia utarudi kule kule na utaoneka fala wa karne!!

Msamehe na umpe masharti yako ili maisha yaendelee.......
 
Mkuu jogger aombaye msamaha,usamehewa..
Kufanya kosa si kosa,bali kurudia kosa...
Usiishi kwa kuangalia watu watakuonaje.. Fata moyo wako.
Ungejua ni sababu zipi zilimfanya bidada achepuke wenda ingekua rahisi kutoa maamuzi ya 1 kwa 1


- Satan -
Oya satan au whatever, huu ushauri wako hau-apply zama hizi hata kidogo. Na huyu jogger akiwa bwege watampigia kila siku. Jitu linapigwa huko wewe unahudumia??? nyambaf
 
hahhahaha tunachapiwa sanaaa kama tunavyo chapia wengine. utakalo amua uko sahihi sana.
 
Back
Top Bottom