Usipambane sana

Napenda sana wanangu wakue nje ya nchi hii ili wajenge mentality ya kuishi bila kujipendekeza.

Maana hapa nyumbani ili utoboe lazima ujidhalilishe kwa wakubwa na watakupenda.
 
Napenda sana wanangu wakue nje ya nchi hii ili wajenge mentality ya kuishi bila kujipendekeza.

Maana hapa nyumbani ili utoboe lazima ujidhalilishe kwa wakubwa na watakupenda.
Kujidhalilisha ni chaguo, wapo wanaoabudu watu badala ya Mungu kila mahali.
..................................
Wafundishe wanao kujitambua kuwa wao ni binadamu na wana uwezo wa kuamua juu ya maisha yao. Waambie kila kitu ni chaguo na hakuna kimpatacho mtu isipokuwa amekichagua na kukiruhusu kwa kujua au kutokujua.
 
Hivi Bosi lile wazo lako la kuongeza mke wa pili bado unalo tu???
 
Napenda sana wanangu wakue nje ya nchi hii ili wajenge mentality ya kuishi bila kujipendekeza.

Maana hapa nyumbani ili utoboe lazima ujidhalilishe kwa wakubwa na watakupenda.
Kumbe kule kujitowa akili kote ndio umekuja kulijuwa leo?
 
Hivi Bosi lile wazo lako la kuongeza mke wa pili bado unalo tu???
Nimeishaongeza tayari....vipi mbona umekuwa kimya sana..uwe unajitahidi kunikumbusha hata kwa meseji kichwa kina mambo mengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…