Me sijaelewa, kwann umesema usioe mke masikini halafu chini ulichozungumzia na ushauri uliotoa vinakinzana na jina la uzi?!
Aisee unajua ifike wakati muwe mnaangalia mnavyopost sio kupost uzi na vitu vya kutunga tunga wengine humu ndani ni watu wazima na tupo hapa kuwashauri nyie akina bwana mdogo ambao siku hizi bila ushauri mnapotea sana