Usingizi katika katiba

Edson Zephania

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2011
Posts
517
Reaction score
112
Sheria ya usingizi ya mwaka 2012 ibara ya 2, inasema;- "ndoto ni haki ya msingi ya kila asinziaye" kifungu cha 3 (c) cha sheria hiyo kinampa haki mtu yeyote kulala na kuota ndoto na kutakiwa au kumtakia njozi njema mtu ampendae, Kifungu cha 3 (d) kinasema;- "mtu yeyote atakae mkatisha mwingine usingizi wake atapewa adhabu ya kusinzia siku "tatu" bila kuamka au faini ya kumnunulia mlalamikaji godoro, ibara ndogo 3 (d)(iii) inasema;- "kama mtu amekupigia simu simu usiku na hukupokea basi utakapoamka umpigie kumuomba radhi vinginevyo utatakiwa kumtumia vocha" NAOMBA NITUMIE HAKI YANGU YA KIKATIBA KUWATAKIA USIKU MWEMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…