Using'ang'anie penzi la asiekupenda

haya mambo hayaaa, haya sasa maskin member wa watuu kashinda vizuri na afya yake sasahv analiaa
 
Umesema yote
 
Nimeamini hata sikutegemea kumbe hata ukiumwiza bado utapenda😍😍😍😍
 
Hili jambo linanikuta mimi sasa ivi.. Na Leo ndio siku ya kumove one rasmi
 
Wewe tafuta pesa pata hadhi kubwa .Hakuna atakayekuchukia wa kukuacha .Eti unataka mapenzi ya dhati nani akupe hayo mapenzi wakati huna hadhi yoyote katika jamii ya unayempenda wala huna pesa .Hakika nakuambia hata ukate mauno kama panga boi ukiwa huna pesa huna hadhi Kubwagwa ni kawaida tu.
 
Breakup is unhealthy!!
I remember when I got dumped, while I was on my way to pick my nephew at school. I came home with the wrong child
Nimecheka hadi, kijambo kimenipitia, bahati nzuri niko peke yangu tu hapa hakuna mtu mwingine.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kuachwa kunauma sana, kunahitaji courage na busara ya juu sana kijistabilize .Ndo maana mtu akiachwa kama hana self determination anakuwa drug addicts au malaya wa kipindukia hii yote ni kutafuta relief. Kuna kijana mmoja aliyekuwa the only son kwa familia ya wazazi ambao walimgharamia kumpeleka India kusoma na wameshafika menopouse alijiua kwa sumu kisa kaachwa na girlfriend wake,sikuumizwa na kifo chake but niliumizwa na situation ya wazazi wake .Don't mess around with love breakups.
 
Bahati nzuri at that moment hakukuwa na masuala ya Whatsapp status, even mambo ya social media hazikuwa zimepamba moto kama sasa hivi
Kwa hiyo brother ulivyofika nae nyumbani na kugundua si yeye, ulifanyaje?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…