Hamayser hamisi
Member
- Jul 14, 2021
- 25
- 26
Habari, tumaini langu mko powa, leo ningependa kushare na nyie watu wanne Kama ujawafollow basi nakushauli uwafollow na Kama umewafollow basi utaungana na me hiki nisemacho.
1). @Joelnanauka, ebana eeh huyu mtu mtu nakushauri mfollow ana mambo mengi sana ya kujifunza kwake kwenye huu ulimwengu ikiwa kibiashara, kiroho, kijamii na mambo mengine mengi Kama umemfollow basi toa ushuhuda kwa hiki nkisemacho ili asiyemfollow aelewe zaidi.
. 2).@chrissmauki, huyu pia Kama ujamfollow nakushauli mfollow Kuna vitu vingi utajifunza kupitia kwake huyu mtu kwenye mapenzi ndo kabez happy Kama mjuavyo mapenzi yana run dunia basi kajifunze upate alau amani ya moyo wako.
3).@nikkiwapili. kwenye sanaa ya kuimba ndo tulimtambua uyu mtu na Sasa ni mkuu wa wilaya ya kisarawe, kwa wanao mfatilia nyimbo zake bila shaka mnamuelewa Sasa usiishie tu kusikiza nyimbo zake mfollow kwenye mitandao yake ya kijamii Kuna madini anashusha uko sio mchezo.
4). Mh. Samia Hassani Suruhu.ni kiongozi wa nchi lazima tumuunge mkono yeye na serikali yake hatuna budi kumfollow tutakapo fanya ivyo tutakuwa pia tumetimiza lile agizo la Mungu la "Tueshimuni utawala'.. ao ndo wangu najua una wako pia sio mbaya ukashare na si ili tuendelee kujifunza zaidi. Asanten.
1). @Joelnanauka, ebana eeh huyu mtu mtu nakushauri mfollow ana mambo mengi sana ya kujifunza kwake kwenye huu ulimwengu ikiwa kibiashara, kiroho, kijamii na mambo mengine mengi Kama umemfollow basi toa ushuhuda kwa hiki nkisemacho ili asiyemfollow aelewe zaidi.
. 2).@chrissmauki, huyu pia Kama ujamfollow nakushauli mfollow Kuna vitu vingi utajifunza kupitia kwake huyu mtu kwenye mapenzi ndo kabez happy Kama mjuavyo mapenzi yana run dunia basi kajifunze upate alau amani ya moyo wako.
3).@nikkiwapili. kwenye sanaa ya kuimba ndo tulimtambua uyu mtu na Sasa ni mkuu wa wilaya ya kisarawe, kwa wanao mfatilia nyimbo zake bila shaka mnamuelewa Sasa usiishie tu kusikiza nyimbo zake mfollow kwenye mitandao yake ya kijamii Kuna madini anashusha uko sio mchezo.
4). Mh. Samia Hassani Suruhu.ni kiongozi wa nchi lazima tumuunge mkono yeye na serikali yake hatuna budi kumfollow tutakapo fanya ivyo tutakuwa pia tumetimiza lile agizo la Mungu la "Tueshimuni utawala'.. ao ndo wangu najua una wako pia sio mbaya ukashare na si ili tuendelee kujifunza zaidi. Asanten.