Nakubaliana na wewe kabisa.
Ni Ajira inayolipa kuliko kuuza Madawa ya Kulevya
Inategema tu unaushwashi kiasi gani na unanafasi gani kwenye Chama.
Siku hizi Siasa ni Pesa,ila kupata channels za wapi pesa inapoanzia ndio issue hapo,uki force wanaku ZITTO KABWE