Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Mama mmoja kindakindaki wa CCM alikuwa haelewi kitu kuhusu mzee baba, akikuwa akipenda kuhitimisha kuwa "Tanzania tumepata chaguo la Mungu, tumwombee". Siku akakumbwa na dhahma ya vyeti fake.
Hata kuja kazini kusalimia hajawahi tangu atumbuliwe. Mimi siungi mkono kughushi vyeti ila. Juzi nilikutana naye hapa mjini accidentally, nikamwambia tumwombee Rais maana ana kazi ngumu. Nilicheka moyoni.
Mama mmoja Pugu hivyohivyo alikuwa haambiwi kitu kuhusu rangi ya kijani. Kajumba kake kamebomolewa bila fidia, nikamwambia tuendelee kumuunga mkono Rais ili atufikishe pazuri zaidi.
Hata kuja kazini kusalimia hajawahi tangu atumbuliwe. Mimi siungi mkono kughushi vyeti ila. Juzi nilikutana naye hapa mjini accidentally, nikamwambia tumwombee Rais maana ana kazi ngumu. Nilicheka moyoni.
Mama mmoja Pugu hivyohivyo alikuwa haambiwi kitu kuhusu rangi ya kijani. Kajumba kake kamebomolewa bila fidia, nikamwambia tuendelee kumuunga mkono Rais ili atufikishe pazuri zaidi.