Evans-Arsenal
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 868
- 1,385
Upoambiwa watu wanaacha Chuo ni kutokana na sababu nyingi tu mfano ni kwa ujinga huu..
Application form sasa baada ya CAS kutolewa ni mpaka 50,000/= mfano ni hapo chuoni..
Ada elekezi iliyoandikwa kwa hiki chuo kwenye Guidebook ya NacTe unavyoona ni Mil 3 lakn ukiangalia katika form yao unapoenda chuo kuchukua ni mpaka Mil 3.5 na kozi nyingine NacTe wamesema Mil 2.5 lakini ukifika unakuta tofauti mpaka Mil 2.8 sasa hii inamaanisha kwamba Kuwa makini na jipange kuchagua vyuo vyako vizuri usije ukailaumu serikari ya Mtukufu Dr. John Magufuri.
.
Application form sasa baada ya CAS kutolewa ni mpaka 50,000/= mfano ni hapo chuoni..
Ada elekezi iliyoandikwa kwa hiki chuo kwenye Guidebook ya NacTe unavyoona ni Mil 3 lakn ukiangalia katika form yao unapoenda chuo kuchukua ni mpaka Mil 3.5 na kozi nyingine NacTe wamesema Mil 2.5 lakini ukifika unakuta tofauti mpaka Mil 2.8 sasa hii inamaanisha kwamba Kuwa makini na jipange kuchagua vyuo vyako vizuri usije ukailaumu serikari ya Mtukufu Dr. John Magufuri.
.



