Ushuru Stand ya UBUNGO ni halali? unasimamiwa na nani?

MZALENDOWAKWELIKWELI

JF-Expert Member
Feb 5, 2012
330
210
Ni Tanzania pekee wananchi hulipishwa ushuru wa huduma bila kuwako kwa huduma husika. Ni Tanzania pekee waweza lipishwa ushuru wa parking eneo lisililo na miundombinu ya parking....Miundombinu ya huduma za kijamii kijamii kama ulinzi, vyoo, sehemu za abiria kupumzika katika stand kuu hii haipo....sababu wanazijua wahusika....hoja yangu ni je USHURU UNALIPWA KWA LIPI?

Ushuru huu ni mali ya serikali au mtu binafsi? Kwamba ni wa Serikali sidhani nijuavyo shuru zote za serikali zinakatiwa Risiti za EFD kulikoni ushuru huu fake wa Stand ya UBUNGO?

Nijuavyo Stand hii ipo ndani utawala wa Ukawa. Je ndo mabadiliko haya mliyotuahidi? Je na hili nalo limewashinda kama lilivyowashinda la ushuru wa parking unaotozwa sh. 500 badala ya 300 enzi za CCM?
fffa255fa9ca9a9c6db025cdd5b1988e.jpg
 
Muulize Bashite maana mabaraza yote ya madiwani hayafanyi kazi tena wenye kufanya kazi ni wakurugenzi na wakuu wa wilaya na mikoa.Hata bajeti za mwakani ili kuondoa lawama waachiwe wapitishe wao.Njoo Arusha mambo ni shaghala bagala.Mkuruenzi ndiyo mungu mtu.
 
Muulize Bashite maana mabaraza yote ya madiwani hayafanyi kazi tena wenye kufanya kazi ni wakurugenzi na wakuu wa wilaya na mikoa.Hata bajeti za mwakani ili kuondoa lawama waachiwe wapitishe wao.Njoo Arusha mambo ni shaghala bagala.Mkuruenzi ndiyo mungu mtu.

Hamuishi lawama..
 
Back
Top Bottom