kama kuna binti au kijana ana shida yoyote haelewi pa kuanzianamshauri aje kanisani sabasaba viwanja vya ngorongoro kwa pastor katunzi kila siku saa kumi nimeona kwa machomabinti ambao waligoma.kwenda shule kumbe wametupiwa mapepo wasisome na sasa wamefunguliwa kumbuka maombi ni bure hapa kwa mchungaji katunzi.ni hapa dar viwanja vya sabasaba maonyesho.
Pale kanisani hapachagui dini waka kabila juzi alikuja mama muislam tangu aolewe alikuwa anaumwa na anamiaka mingi kwenye ndoa hajazaa anasema siku ya ndoayake ya kiislam alikuja mabibi watatu wakampa chakula ale tangu siku hiyo ni mgonjwa kahangaika haponi na wala hashik mimba mchungaji alimuombea na akasema anajiskia vizuri,akaenda zake yesu achagui dini anamponya mwenye kuamini atapona si huyo tu ni wengi kwa macho ni meona.
Well, nilikua naangalia StarTv asubuhi kwene jarida maridhawa or something like that, kuna shule huko Tabora inaripotiwa ina wanafunzi 4 waliokua wakitarajiwa kufanya mtihani wa form 4, huku ikilalamikiwa kua wakazi wa kata husika hawana mwamko wa elimu. Sasa unaoneje ukimshauri huyo mchungaji akatembelea huko maana inaonekana kuna mapepo mengi, watoto wanakataa shule na wazazi nao habari hawana.
mchungaji an kanisa analichunga zaid ya watu 2000 kila siku ni ibada na huwa ana mialiko mingi kias cha mingine kushindwa kwenda kashaenda kwenye shule kashaa na wengine walileta watoto wao kuombewa kwahiyo jambo kama hilo ni gumh kulisemea kwa kuwa mimi si msemaji wake wala mtu wa kanisa hilo ila naenda hapo sana kwa kuwa nimeona mungu anamtumiasana kiwafungua watu kila ibada ina nguvu za mungu na kila anaekwenda anaona kwa macho.
piga piga,kanyaga kanyaga sitaki tena mwisho,walikutupia majipu,tunawarudishia majipu yao,waliokuzibia,tunawazibua leo by force by power of Jesus Christ,mpe Yesu makofi ya shangwe na vigelele.